huwezi kumlaumu mourihno,mourihno alikuwa na mchezaji wake aliyetaka kumsajili lakini akapima upepo akaona mchezaji aliyemtaka hakubaliki na mashabiki,waliona uwezo wake ulikuwa mdogo kuliko wa maforward wa timu zingineTeh Mourihno nae alaumiwe... Na bodi nzima ya mashetani wekundu