Huyu Pogba wetu ni hasara tu

Huyu Pogba wetu ni hasara tu

Pogba wetu hafai kua nahodha,hafai kua golkiper,hafai kua forward namba moja tatizo hajui fomeshen ya pale magogoni,kama ni 4-4-2 au ni 3-5-2,mchezaji hachagui kocha bali kocha ndie anachagu mchezaji,pogba wetu nani kamruhusu achague kocha???
A
Mkuu,msalimie mtume!ahahaha!kumbe ndio maana tulipoteza mechi na [HASHTAG]#Arsenane[/HASHTAG]...
 
Tungefanya Usajiri,ila Pesa Hamuna Si Unajua Timu Imepata Hasara Baada ya Hisa Timu Kushuka!Matokeo Mabovu ya Mfululizo Yamewakimbiza Wengi!Labda Tusubiri Mkataba Wake Utakapo Expire 2020!Labda Twaweza Mwachia Aende!
2020 timu itashuka daraja ,mashabiki na wenye hisa zetu tutafilisika,hata jezi hatutauza za mchezaji wetu wa dunia,mm nataka kujua alimsajili ni nani???
 
2020 timu itashuka daraja ,mashabiki na wenye hisa zetu tutafilisika,hata jezi hatutauza za mchezaji wetu wa dunia,mm nataka kujua alimsajili ni nani???
Mkuu,kuna kimbelembele cha Kocha Aliyepita na Fowadi Aliyepita!Tena Nasikia Fowadi Aliyepita Alifanya Figusu ili Tumpate Huyu Fowadi Ambae Sio Mzuri Uwanjani!Fowadi Huyu Alikuwa na Lengo la Kuhakikisha Kuwa Hafunikwi!Ndio Maana Akatuletea Pogba!
 
Mkuu,msalimie mtume!ahahaha!kumbe ndio maana tulipoteza mechi na [HASHTAG]#Arsenane[/HASHTAG]...
Mkuu kumbuka haya si mashindano ya ligi ndogo?hii ligi ya mabingwa utaifa ni mbele kwanza timu inawakilisha nchi, halafu tunafungwa kila mechi hata sisi wenye cristiano ronaldo tunaumia sana ila hawezi ingia kumchukua namba ya pogba kanuni hazirusu,tunaumia sana
 
Mkuu kumbuka haya si mashindano ya ligi ndogo?hii ligi ya mabingwa utaifa ni mbele kwanza timu inawakilisha nchi, halafu tunafungwa kila mechi hata sisi wenye cristiano ronaldo tunaumia sana ila hawezi ingia kumchukua namba ya pogba kanuni hazirusu,tunaumia sana
Dah,Au Tusiingize Timu Uwanjani Mechi Zilizobakia!?
 
Lous van gaal alisema tutamkumbuka na tatal footbal yke.
Hamna lolote, LVG alikuwa msanii tu kwanza hata timu ifanye vibaya yeye alikuwa hanyanyuki kwenye kiti chake, alibaki kuandika andika tu na ndio maana timu ilifika kubaya sana na ikafkia kipindi tukaomba kocha mkali asiyechekacheka na ndo tunaye sasa,kilichobaki ni tumuunge mkono tu.
 
Wanajamvi mtakumbuka wakati wa usajili tuliambiwa hii timu yetu sasa inasajili bonge la fowadi anayekuja kumaliza matatizo yote.

Hata kuingia kwake ktk timu alikuja na mbwembwe kibao, Mara kufanya mazoezi ya ghafla klabuni usiku au mchana akiwa na waandishi Wa habari ili mradi ajioneshe tuu kwa mashabiki kuwa anauwezo.

Cha kushangaza ligi ilipoanza ameanza kuja na Masharti kibao klabuni eti ili aonekane kuwa yeye ni mchezaji mzuri kuliko Wa timu pinzani tumtimizie mambo yafuatayo.

1. Mabeki wa timu pinzani wote wafungwe miguu na mikono wawapo uwanjani.

2. Timu yetu iwe inapewa penati kila mechi na marefa ili yeye awe mfungaji bora.

3. Timu pinzani zisiruhusiwe kuleta mashabiki uwanjani.

Sasa wenye Akili hapa klabuni tukaanza kuhoji huyu kweli ni fowadi au garasa?
Mbona fowadi tuliye muacha alikuwa anafunga magoli huku mabeki Wa timu pinzani wakicheza japo tulimuona kama kashuka kiwango?

Tena timu pinzani ziliruhusiwa kwenda kwa ndege helcopta au usafiri wowote kokote hapa nchini kuchukua mashabiki na kuwaleta uwanjani katika mashindano mbali mbali.

Uchumi Wa klabu umeshuka ghafla mashabiki hawana imani naye tena kabisa. Wanajiuliza fowadi gani hawezi cheza mechi za kimataifa anag'ang'ania mechi za mchangani tuu.

Huyu Pogba klabu imepata hasara kubwa Sana kwa kusajili mchezaji bila hata kuangalia uzoefu na historia yake hapa klabuni. Anazua hofu ubabe na kushabikia magoli ya mikono eti yawe halali kwa timu yake tuu.
Hapa hata washabiki tukimpiga mawe pogba hawawezi kutukamata maana tunarusha mawe uwanjani bila kumtaja halafu tupo wengi
 
HAMNA POGBA YUKO FRESH TU SEMA WABONGO TUNABEBEWA SANA AKILI ZETU NA TUNATUMIKA KWA KUDANGANYWA NA MAKOCHA WA TIMU PINZANI KAMA HATUKO TIMAMU. KWA KIFUPI MAKOCHA NA VIONGOZI WA TIMU PINZANI WAMESHINDWA KUFUNDISHA NA KUENDESHA SOKA LA UKWELI,WAMEBAKI KUFANYA POROJO TU WANAPOKUWA HUKO CNN,SKY NEWS,BBC NK! ILA POGBA KIWANGO BADO KIPO CHA KUELEWEKA TU. HALAFU YATUPASA TUMPE JAPO HATA MIAKA MIWILI HUYU POGBA!!
Wewe utakuwa mshabiki wa pogba...ila ki uharisia timu yetu ya man u imepoteza mwelekeo na hakuna wa kumpinga pogba...kila siku anakuja na style ya kunyoa Mara kiduku ila hatuoni magori
 
Back
Top Bottom