Hifikirii kwa nini Ferguson kocha bora alimgawa bure ??Wanajamvi mtakumbuka wakati wa usajili tuliambiwa hii timu yetu sasa inasajili bonge la fowadi anayekuja kumaliza matatizo yote.
Hata kuingia kwake ktk timu alikuja na mbwembwe kibao, Mara kufanya mazoezi ya ghafla klabuni usiku au mchana akiwa na waandishi Wa habari ili mradi ajioneshe tuu kwa mashabiki kuwa anauwezo.
Cha kushangaza ligi ilipoanza ameanza kuja na Masharti kibao klabuni eti ili aonekane kuwa yeye ni mchezaji mzuri kuliko Wa timu pinzani tumtimizie mambo yafuatayo.
1. Mabeki wa timu pinzani wote wafungwe miguu na mikono wawapo uwanjani.
2. Timu yetu iwe inapewa penati kila mechi na marefa ili yeye awe mfungaji bora.
3. Timu pinzani zisiruhusiwe kuleta mashabiki uwanjani.
Sasa wenye Akili hapa klabuni tukaanza kuhoji huyu kweli ni fowadi au garasa?
Mbona fowadi tuliye muacha alikuwa anafunga magoli huku mabeki Wa timu pinzani wakicheza japo tulimuona kama kashuka kiwango?
Tena timu pinzani ziliruhusiwa kwenda kwa ndege helcopta au usafiri wowote kokote hapa nchini kuchukua mashabiki na kuwaleta uwanjani katika mashindano mbali mbali.
Uchumi Wa klabu umeshuka ghafla mashabiki hawana imani naye tena kabisa. Wanajiuliza fowadi gani hawezi cheza mechi za kimataifa anag'ang'ania mechi za mchangani tuu.
Huyu Pogba klabu imepata hasara kubwa Sana kwa kusajili mchezaji bila hata kuangalia uzoefu na historia yake hapa klabuni. Anazua hofu ubabe na kushabikia magoli ya mikono eti yawe halali kwa timu yake tuu.
.....pogba yeye ndo anatoa maelekezo kwa benchi la ufundi, yaan kazi kwelikweli
nashangaa hata wana manchesta wanataman apige hata assist tu wajidai lkn ndo kwanza ananawa mpiraaaaWanajamvi mtakumbuka wakati wa usajili tuliambiwa hii timu yetu sasa inasajili bonge la fowadi anayekuja kumaliza matatizo yote.
Hata kuingia kwake ktk timu alikuja na mbwembwe kibao, Mara kufanya mazoezi ya ghafla klabuni usiku au mchana akiwa na waandishi Wa habari ili mradi ajioneshe tuu kwa mashabiki kuwa anauwezo.
Cha kushangaza ligi ilipoanza ameanza kuja na Masharti kibao klabuni eti ili aonekane kuwa yeye ni mchezaji mzuri kuliko Wa timu pinzani tumtimizie mambo yafuatayo.
1. Mabeki wa timu pinzani wote wafungwe miguu na mikono wawapo uwanjani.
2. Timu yetu iwe inapewa penati kila mechi na marefa ili yeye awe mfungaji bora.
3. Timu pinzani zisiruhusiwe kuleta mashabiki uwanjani.
Sasa wenye Akili hapa klabuni tukaanza kuhoji huyu kweli ni fowadi au garasa?
Mbona fowadi tuliye muacha alikuwa anafunga magoli huku mabeki Wa timu pinzani wakicheza japo tulimuona kama kashuka kiwango?
Tena timu pinzani ziliruhusiwa kwenda kwa ndege helcopta au usafiri wowote kokote hapa nchini kuchukua mashabiki na kuwaleta uwanjani katika mashindano mbali mbali.
Uchumi Wa klabu umeshuka ghafla mashabiki hawana imani naye tena kabisa. Wanajiuliza fowadi gani hawezi cheza mechi za kimataifa anag'ang'ania mechi za mchangani tuu.
Huyu Pogba klabu imepata hasara kubwa Sana kwa kusajili mchezaji bila hata kuangalia uzoefu na historia yake hapa klabuni. Anazua hofu ubabe na kushabikia magoli ya mikono eti yawe halali kwa timu yake tuu.

NA TUMESHAMKUMBUKA KWA KUWA ALIJITAHIDI SANA KUFUNDISHA TATALFOOTBALLLous van gaal alisema tutamkumbuka na tatal footbal yke.
.....pogba yeye ndo anatoa maelekezo kwa benchi la ufundi, yaan kazi kwelikweli
NA TUMESHAMKUMBUKA KWA KUWA ALIJITAHIDI SANA KUFUNDISHA TATALFOOTBALL
POGBA HAELEWEKI MARA MIDO MARA KIPA YANI ILIMRADImmh...kwan POGBA ni fowad au mido?? napita tuuuu
Pogba anakuza uchumi kwa mwendokasi. Waulize TRA na watakwimu watakuhakikishia uchumi umezidi kuimarika, wanaolalamikia maisha wanatakiwa wajitetemeshe.Wanajamvi mtakumbuka wakati wa usajili tuliambiwa hii timu yetu sasa inasajili bonge la fowadi anayekuja kumaliza matatizo yote.
Hata kuingia kwake ktk timu alikuja na mbwembwe kibao, Mara kufanya mazoezi ya ghafla klabuni usiku au mchana akiwa na waandishi Wa habari ili mradi ajioneshe tuu kwa mashabiki kuwa anauwezo.
Cha kushangaza ligi ilipoanza ameanza kuja na Masharti kibao klabuni eti ili aonekane kuwa yeye ni mchezaji mzuri kuliko Wa timu pinzani tumtimizie mambo yafuatayo.
1. Mabeki wa timu pinzani wote wafungwe miguu na mikono wawapo uwanjani.
2. Timu yetu iwe inapewa penati kila mechi na marefa ili yeye awe mfungaji bora.
3. Timu pinzani zisiruhusiwe kuleta mashabiki uwanjani.
Sasa wenye Akili hapa klabuni tukaanza kuhoji huyu kweli ni fowadi au garasa?
Mbona fowadi tuliye muacha alikuwa anafunga magoli huku mabeki Wa timu pinzani wakicheza japo tulimuona kama kashuka kiwango?
Tena timu pinzani ziliruhusiwa kwenda kwa ndege helcopta au usafiri wowote kokote hapa nchini kuchukua mashabiki na kuwaleta uwanjani katika mashindano mbali mbali.
Uchumi Wa klabu umeshuka ghafla mashabiki hawana imani naye tena kabisa. Wanajiuliza fowadi gani hawezi cheza mechi za kimataifa anag'ang'ania mechi za mchangani tuu.
Huyu Pogba klabu imepata hasara kubwa Sana kwa kusajili mchezaji bila hata kuangalia uzoefu na historia yake hapa klabuni. Anazua hofu ubabe na kushabikia magoli ya mikono eti yawe halali kwa timu yake tuu.
Pogba anakuza uchumi kwa mwendokasi. Waulize TRA na watakwimu watakuhakikishia uchumi umezidi kuimarika, wanaolalamikia maisha wanatakiwa wajitetemeshe.
Mayala oyeeeee. Mayala kwa kisukuma maana yake ni njaaa.
Mayala oyeeee, mayala oyeeee. Tanzania ya viwanda oyeeee. Kusoma namba oyeeee.
