Ntaluke.N.
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 1,340
- 552
Wanasema Jezi za Pogba zinauzwa sana,kiasi kwamba klub inapata faida mpaka mashabiki wamenunuliwa ndege kupitia mauzo Ya Jezi za POGBA.Niliskia kipindi Pogba anatafta usajili aliwaahidi mashabiki wake Mill.50 ila tangu aanze kucheza hajatoa hata sh.200.