Huyu Pogba wetu ni hasara tu

Huyu Pogba wetu ni hasara tu

HAMNA POGBA YUKO FRESH TU SEMA WABONGO TUNABEBEWA SANA AKILI ZETU NA TUNATUMIKA KWA KUDANGANYWA NA MAKOCHA WA TIMU PINZANI KAMA HATUKO TIMAMU. KWA KIFUPI MAKOCHA NA VIONGOZI WA TIMU PINZANI WAMESHINDWA KUFUNDISHA NA KUENDESHA SOKA LA UKWELI,WAMEBAKI KUFANYA POROJO TU WANAPOKUWA HUKO CNN,SKY NEWS,BBC NK! ILA POGBA KIWANGO BADO KIPO CHA KUELEWEKA TU. HALAFU YATUPASA TUMPE JAPO HATA MIAKA MIWILI HUYU POGBA!!
kauli yako imehitimisha huyu pogba hafai kwa kusema
JAAAAPO TUMMPE MIAKA MIWILI

inaonekana.ni kweli pogba ni garasa ila tumvumilie
 
HAMNA POGBA YUKO FRESH TU SEMA WABONGO TUNABEBEWA SANA AKILI ZETU NA TUNATUMIKA KWA KUDANGANYWA NA MAKOCHA WA TIMU PINZANI KAMA HATUKO TIMAMU. KWA KIFUPI MAKOCHA NA VIONGOZI WA TIMU PINZANI WAMESHINDWA KUFUNDISHA NA KUENDESHA SOKA LA UKWELI,WAMEBAKI KUFANYA POROJO TU WANAPOKUWA HUKO CNN,SKY NEWS,BBC NK! ILA POGBA KIWANGO BADO KIPO CHA KUELEWEKA TU. HALAFU YATUPASA TUMPE JAPO HATA MIAKA MIWILI HUYU POGBA!!

Kwanini apewe miaka miwili wakati ana uzoefu wa ligi? Angekua ni chipukizi tungekuelewa. Lakini uyu alikua kwenye kikosi bora cha FIFA cha msimu uliopita na kacheza mechi nyingi sana za kwenye ligi.
 
mmh...kwan POGBA ni fowad au mido?? napita tuuuu
 
Hamna lolote, LVG alikuwa msanii tu kwanza hata timu ifanye vibaya yeye alikuwa hanyanyuki kwenye kiti chake, alibaki kuandika andika tu na ndio maana timu ilifika kubaya sana na ikafkia kipindi tukaomba kocha mkali asiyechekacheka na ndo tunaye sasa,kilichobaki ni tumuunge mkono tu.
Tatizo Luis van gaal yeye alikua kocha a kafanya usajili halafua akaacha timu bila kocha pogba kaja anataka awe kocha mchezaji wakati hana hizo sifa ,alisajiliwa ili afundishwe acheze na timu pinzani apate uzoefu yeye hataki anapanga Man U A na Man U B timu haiwezi ligi kila ilifungwa pogba anacheka mana japo yeye c kocha,ikipata sare anafurahi pia mana yeye kachezea timu yake,ndio kocha mchezaji huyo
 
Wanajamvi mtakumbuka wakati wa usajili tuliambiwa hii timu yetu sasa inasajili bonge la fowadi anayekuja kumaliza matatizo yote.

Hata kuingia kwake ktk timu alikuja na mbwembwe kibao, Mara kufanya mazoezi ya ghafla klabuni usiku au mchana akiwa na waandishi Wa habari ili mradi ajioneshe tuu kwa mashabiki kuwa anauwezo.

Cha kushangaza ligi ilipoanza ameanza kuja na Masharti kibao klabuni eti ili aonekane kuwa yeye ni mchezaji mzuri kuliko Wa timu pinzani tumtimizie mambo yafuatayo.

1. Mabeki wa timu pinzani wote wafungwe miguu na mikono wawapo uwanjani.

2. Timu yetu iwe inapewa penati kila mechi na marefa ili yeye awe mfungaji bora.

3. Timu pinzani zisiruhusiwe kuleta mashabiki uwanjani.

Sasa wenye Akili hapa klabuni tukaanza kuhoji huyu kweli ni fowadi au garasa?
Mbona fowadi tuliye muacha alikuwa anafunga magoli huku mabeki Wa timu pinzani wakicheza japo tulimuona kama kashuka kiwango?

Tena timu pinzani ziliruhusiwa kwenda kwa ndege helcopta au usafiri wowote kokote hapa nchini kuchukua mashabiki na kuwaleta uwanjani katika mashindano mbali mbali.

Uchumi Wa klabu umeshuka ghafla mashabiki hawana imani naye tena kabisa. Wanajiuliza fowadi gani hawezi cheza mechi za kimataifa anag'ang'ania mechi za mchangani tuu.

Huyu Pogba klabu imepata hasara kubwa Sana kwa kusajili mchezaji bila hata kuangalia uzoefu na historia yake hapa klabuni. Anazua hofu ubabe na kushabikia magoli ya mikono eti yawe halali kwa timu yake tuu.

`bonge la fowadi` Pogba sio fowadi,,, nenda kwa Edo kumwembe akufundishe uchambuzi
 
2020 timu itashuka daraja ,mashabiki na wenye hisa zetu tutafilisika,hata jezi hatutauza za mchezaji wetu wa dunia,mm nataka kujua alimsajili ni nani???
Alikuja ghafla tu baada ya nyota aliyekuwa anatakiwa kufanyiwa vitimbwi na kuhamia timu pinzani, hata waliomsajili hawakuwa na imani na haina yake ya uchezaji, ila ndio ikawa haina jinsi wakasema atajifunzia mchezoni.......sasa anaigharimu timu mpk jezi haziuziki.
 
Back
Top Bottom