.....Pogba ana wakala wake ana cheo cha ujaji.......hiyo ndio sitaki kabisa kumsikia maana alimtangaza kwa mbwembwe kweli.
......Pogba ni bonge ya kimeo yaani Manchester Utd na Ligi nzima imekula hasara. Ila tutamkumbuka Van Gal, ht yeye alisema.
Trust me hujamwelewa soma maliza!! Ni kweli pogba halisi ni kiungo japo anatumika sometimes kama namba kumi!! Ila huyu sio pogba huyo unaemzani''Wanajamvi mtakumbuka wakati wa usajili tuliambiwa hii timu yetu sasa inasajili bonge la fowadi anayekuja kumaliza matatizo yote.''
ingekua lugha ya mamtoni nisingeelewa,,,,,
Tumia kichwa kufikiri mambo yanavoenda sio kufugia nywele...we unafikiri kwa threads zenu mlizokuwa mnaandikiana na kujijibu wenyewe kuhusu chama chenu kuna GT angetamani hata kupoteza mda wake kufungua nyuzi,humu mlikuwepo mapoyoyo!watu wenye akili timamu ndo wanao-run hii forum that's why nyuzi makini kama hizi zikiandikwa kuna watu hujawahi kuwaona ila unaona wanachangia.Kwani ilienda wapi?
Muda mwingine anangangania kucheza nyuma ya goli akiamini yeye ni mchezaji namba 12.Tatizo yeye ni ni kiungo....
Wakati huo anataka kuwa forward.....
Wakati huo anataka kuwa beki........
Sometime anataka awe Goalkeeper...
Mkuu bora ùmeliona hilo kwa pogbaaaaaaa.ngoja nitizame vizuri Nione kama pogba atapata mashabiki kwa staili hii ya uandishi nahisi hili in
jiwe gizani
Pogba kapiga dongo lake saaafi kichwa alafu katia blichi ili awe kama mkongo.ah pogbaaaaaa...
pogba nasikia amekuwa mnyang'anyi mtaani,eti mali za washabiki wake zote zinapaswa azimiliki yeye...
na ukitaka kumjua pogba vizuri mwambie hujui kucheza mpira...
hapo mechi utazisikia ukiwa gerezani...
pogbaaaaaaaaaaaaa...
akijibu hoja jiandae kushangaa kwamba ni msomi au kila.za wa mpira.