Kawakosea nini??
mbona mko hivyo?
imagine hajapaka makeup......................................... !!!!!!!!!!.....anakuwaje??????
Mh, mzazi akila zabibu mbichi meno ya watoto wake ndo yafe ganzi?
mwanya ka uchochoro
Haswa...bila baba yake asingekuwa Vodacoma(ya Rostam)....bila baba yake nduguye asingekuwa mbunge....bila baba yake huyo mzungu pengine asingemuwowa...siasa na nguvu za utawala
Mwamvita ni mchapakazi na ana moyo wa huruma ya baba yake hayamuhusu kila mtu ahukumiwe kwa matendo yake.
absolutely. Baba ahukumiwe kwa tabia/uovu wake!
mwanya ka uchochoro
Toto la KIHAYA Mwamvita bint makamba
Heee juzi juzi wakati wa mfungo si nilimuona amevaa baibui...?! Leo yuko hivi...!
Do......do......do......do......do.........Dooooooooonge tu!!!!!!