FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,211
It clearly shows you are not conversant with the language used. Where you have highlighted in red talks about the future. Poor you.Acha uongo binti!!!!!!
It clearly shows you are not conversant with the language used. Where you have highlighted in red talks about the future. Poor you.Acha uongo binti!!!!!!
<br /><font size="4"><b>Acha uongo binti!!!!!!<br />
<br />
</b></font>
Uongo wa kupanga na majungu yasiyo na mpango.
PSRC hawauzi shirika lolote la umma lenye faida. Walishindwa kuliendesha Mulaa kanunua linaingiza faida wanalitamani. Mengine yote ya matusi na nini ni pumba tupu za kuwatia watu chuki. Nyie ndio wanga wenyewe, huwa mnauchungu wenzenu wanapoweza mliposhindwa nyinyi na ndio maana mpaka leo hamuendelei na kwa roho kama hiyo hamtaendelea maisha, wataoendelea ni wale tu wataobadilika na kustaarabika ki ukweli.
Nambie kuna shamba lipi la umma au shirika lipi la umma lenye faida inayostahili likauzwa? Wacha Uongo.
<br />Ili kunipa hamasa ya kuchukua kwa umakini mambo muhimu ya maisha, mama yangu mzazi alikuwa anapenda kuniambia 'Usione Vyaelea,Vimeundwa'. Mullah hana rekodi safi na hilo linaeleweka bayana. Sasa mbona anapewa mpaka uenyekiti wa chama? Ile vita ya Rujewa ilisababishwa na nani? Barabara ya kilwa road ambayo Magufuli alikataa kuipokea imejengwa na nani? Hivi Tanzania ya leo ukiona vyaelea ujue vimeibwa????
Ningeshangaa kama huyu fisadi angekosa watetezi, na bado !
Kwanini hajafikishwa mahakamani kuhusiana na lile sakata la wanyama "wetu" waliotoroshwa na dege la jeshi la Qatar?
Ili kunipa hamasa ya kuchukua kwa umakini mambo muhimu ya maisha, mama yangu mzazi alikuwa anapenda kuniambia 'Usione Vyaelea,Vimeundwa'. Mullah hana rekodi safi na hilo linaeleweka bayana. Sasa mbona anapewa mpaka uenyekiti wa chama? Ile vita ya Rujewa ilisababishwa na nani? Barabara ya kilwa road ambayo Magufuli alikataa kuipokea imejengwa na nani? Hivi Tanzania ya leo ukiona vyaelea ujue vimeibwa????
Sio wanajuana tu, hao ni ndugu damu damu. Jee, una ushahidi wa wizi wao? au wewe ni mchaga?
Kumbe unamjua eh??Uongo wa kupanga na majungu yasiyo na mpango.
PSRC hawauzi shirika lolote la umma lenye faida. Walishindwa kuliendesha Mulaa kanunua linaingiza faida wanalitamani. Mengine yote ya matusi na nini ni pumba tupu za kuwatia watu chuki. Nyie ndio wanga wenyewe, huwa mnauchungu wenzenu wanapoweza mliposhindwa nyinyi na ndio maana mpaka leo hamuendelei na kwa roho kama hiyo hamtaendelea maisha, wataoendelea ni wale tu wataobadilika na kustaarabika ki ukweli.
Nambie kuna shamba lipi la umma au shirika lipi la umma lenye faida inayostahili likauzwa? Wacha Uongo.
It clearly shows you are not conversant with the language used. Where you have highlighted in red talks about the future. Poor you.
Due to the size, power, asset value, and profitability of this bank, along with the good will that the bank will continue to soar in the next five to ten years,
Ili kunipa hamasa ya kuchukua kwa umakini mambo muhimu ya maisha, mama yangu mzazi alikuwa anapenda kuniambia 'Usione Vyaelea,Vimeundwa'. Mullah hana rekodi safi na hilo linaeleweka bayana. Sasa mbona anapewa mpaka uenyekiti wa chama? Ile vita ya Rujewa ilisababishwa na nani? Barabara ya kilwa road ambayo Magufuli alikataa kuipokea imejengwa na nani? Hivi Tanzania ya leo ukiona vyaelea ujue vimeibwa????