huyu jamaa ni mbulushi wa Rujewa na mali zake ni za kifamilia. zaidi zilitokana na pembe za tembo zamani miaka kati ya 1970-1983 ana magorofa pale uhindini mbeya alinunua kampuni ya uwindaji tanzania pamoja na nyara zote serikali zilizokuwepo rejea ubinafsishaji wa awali zaidi hii ilikuwa 1996 bila kukusea alipewa majumba yote kampuni
baada kupata dili hii kazi yake kubwa ni wanyama anasadikiwa ana mazoo uarabuni hata ulaya :drum:
:frown:
:teeth:
:drum: :whoo: :gossip: :mvutaji:
baada kupata dili hii kazi yake kubwa ni wanyama anasadikiwa ana mazoo uarabuni hata ulaya :drum:
:frown:
:teeth:
:drum: :whoo: :gossip: :mvutaji: