Huyu ni nani? Abdulhakim Mulla - katika biashara ya Usafirishaji wanyama...

Kama kuna chombo kinaitwa UwT bbasi hapa wangefanya sherehe.
CCM, TAKUKURU, UwT..wameoza..nina uhakika ukifatilia JF nondo zilizoko hapa basi leo hii kama tungekuwa na uwt kweli kuna vigogo wengi wangekuwa wananyea ndoo...lakini kwa kuwa jukumu lao kubwa kwasasa ni kuhakikisha ccm inashinda basi tuendelee kupiga kelele mpaka yesu atakaporudi...
 
Huyu jamaa ni mdogo wa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mbeya bwana Nawabu Mulla. Ana uhusiano na wamiliki wa Kampuni ya Highland Estates ambao ndiyo waliyonunua lililokuwa shamba la Taifa la Mbarali (NAFCO-Mbarali).
 
Ah! CCM yetu ya JEMBE na NYUNDO itarudi kweli? Tutawafanyaje hawa akina Mulla ili watuachie CCM yetu?
 
Kuna habari mbalimbali kuhusu huyu bwana hususan hata kuhusiana na wanyama waliotoroshwa na biashara ya wanyama kwa ujumla. Lakini sidhani kama ni miongoni mwa watu waliofikishwa mahakamani... Jina lake liliwahi kutajwa na CNN mwaka 2001 kuhusiana na uuzaji wa Tanzanite SOMA TRANSCRIPT HERE

Lakini pia anahusiana karibu na viongozi wengi tu wa serikali na wenye madaraka na ndani ya chama tawala. What do we know about him and his relations to major gem and wildlife resources...
Majambazi yaliyokaribishwa na Magamba kusaidia kukamata mamlaka in exchange of mali asili zetu!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hawa akina mulla wapo wengi kuna mulla ambae anamiliki kampuni ya ndege arabuni kuna mulla mwengine yupo ubena na shamba la chai na kuna mulla wanaomiliki mashamba ya mkonge tanga kupitia kampuni ya tancord. Wote hawa asili yao ni rujewa ambako kuna mulla mwengine ambaye anawadhifa ndani ya chama tawala mbeya.tueleweshane wana jamii huu ni mtandao au?
 
FaizaFoxy, kwa ufupi familia ya MULLA ni zaidi ya majambazi, lakini pale Lupembe amepatikana, utanunuwaje kiwanda bila ya kulipa, na shauri alilofungua mahakama kuu mbona ameshashindwa? Kinachofanyika ni kuchelewesha hukumu kwa kuwahonga MAJAJI wa Kitanzania. JK ameunda tume ya kushughulikia matatizo ya kiwanda hiki, lakini kwa uswahiba uliopo baina yao hakuna maamuzi yoyote yaliyofikiwa huku chai ya wakulima ikiharibika kwa sababu kiwanda kimefungwa kwa zaidi ya miaka 5 sasa.

FaizaFoxy, unajuwa hawa MULLA walimpora KONOIKE vifaa vya ujenzi kwa kufungua kesi ya madai ya ajabu ajabu mahakama kuu wakati wanajenga barabara ya Kilwa, ambayo imejengwa kwa kiwango cha chini mno. Magari na mitambo yote ya Konoike wamevifungia kwenye godown yao iliyopo nyuma ya kiwanda cha Aluminium Africa.
Pamoja na kutokubaliana na FF in principle, kuna makosa katika post hii.
KONOIKE HAJAWAHI KUJENGA KILWA RD. Ujenzi wa barabara hii ulifanywa na kampuni ya KAJIMA toka Japan.
Get yer facts straight.
 
Mullah ni jina la ukoo (binamu,kaka,baba mdogo) wengi wanalitumia na wote wanauhusiano katika biashara zao. Mullah ninayemfahamu mimi ana kampuni ya malori yameandikwa Highland Estates yana strip nyekundu magodown yake yako Keko, miaka ya 90 kuna ma container ya pembe za ndovu yalikamatwa kwenye site yake hiyo. Anafanya biashara ya mizigo Tanz-Zambia na site yake kubwa iko Iringa akishusha mzigo bandalini repacking inafanyika Iringa kabla ya kusafirishwa nchi jirani.
 
Majambazi mabrush koko wanakila sababu ya kukomba na kumaliza kila kitu ndio sera ya CCM wizi na ujambazi full stop
 
Mnabaki kulalama na wala hamna la maana zaidi ya uzandiki na ufataani. Mahakama mnazijuwa, kama unaona kaiba, unashindwa nini kumpeleka mahakamani?

Ya Dowans tumeyaona, yanatutokea puani, fitina na majungu vimewafikisha mpaka leo mnalalama hamjui cha kufanya. Kama Dowans ni ya RA basi kawazidi maarifa kwa sana tu. Imeamuriwa Dowans ilipwe, mitambo wameiuza, na juzi hukumu ya kulipwa fedha za zingine kwa kucheleweshwa kulipwa imetolewa na mahakama ya Uingereza.

RA kawaachia siasa zenu uchwara sasa mnawaingilia ndugu zake. Hamuwawezi mtabaki kulalama. Waswahili hunena "debe tu..." Mtajaza wenyewe.
 
Uongo wa kupanga na majungu yasiyo na mpango.

PSRC hawauzi shirika lolote la umma lenye faida. Walishindwa kuliendesha Mulaa kanunua linaingiza faida wanalitamani. Mengine yote ya matusi na nini ni pumba tupu za kuwatia watu chuki. Nyie ndio wanga wenyewe, huwa mnauchungu wenzenu wanapoweza mliposhindwa nyinyi na ndio maana mpaka leo hamuendelei na kwa roho kama hiyo hamtaendelea maisha, wataoendelea ni wale tu wataobadilika na kustaarabika ki ukweli.

Nambie kuna shamba lipi la umma au shirika lipi la umma lenye faida inayostahili likauzwa? Wacha Uongo.

It depends how they (PSRC) define FAIDA!
 
Mnabaki kulalama na wala hamna la maana zaidi ya uzandiki na ufataani. Mahakama mnazijuwa, kama unaona kaiba, unashindwa nini kumpeleka mahakamani?

Ya Dowans tumeyaona, yanatutokea puani, fitina na majungu vimewafikisha mpaka leo mnalalama hamjui cha kufanya. Kama Dowans ni ya RA basi kawazidi maarifa kwa sana tu. Imeamuriwa Dowans ilipwe, mitambo wameiuza, na juzi hukumu ya kulipwa fedha za zingine kwa kucheleweshwa kulipwa imetolewa na mahakama ya Uingereza.

RA kawaachia siasa zenu uchwara sasa mnawaingilia ndugu zake. Hamuwawezi mtabaki kulalama. Waswahili hunena "debe tu..." Mtajaza wenyewe.
Yana mwisho haya. Kulalama ni hatua ya kwanza tu. Ni vizuri ukawashtua hawa jamaa zako wakakimbilia wanakoweza kukimbilia. Nani alijua Hosni Mubarak atakuwa hivyo alivyo sasa mwaka mmoja tu uliopita?
 
Dada FF kuna baadhi ya mambo nakubaliana na wewe lakini ili PSRC hawauzi shirika lenye faida nadhani umepotoka sana hata Mwl Nyerere aliwahi kuilaumu serekali ya CCM, rejea hotuba yake aliyoitoa siku ya wafanyakazi dunia mjini Mbeya.


Uongo wa kupanga na majungu yasiyo na mpango.

PSRC hawauzi shirika lolote la umma lenye faida. Walishindwa kuliendesha Mulaa kanunua linaingiza faida wanalitamani. Mengine yote ya matusi na nini ni pumba tupu za kuwatia watu chuki. Nyie ndio wanga wenyewe, huwa mnauchungu wenzenu wanapoweza mliposhindwa nyinyi na ndio maana mpaka leo hamuendelei na kwa roho kama hiyo hamtaendelea maisha, wataoendelea ni wale tu wataobadilika na kustaarabika ki ukweli.

Nambie kuna shamba lipi la umma au shirika lipi la umma lenye faida inayostahili likauzwa? Wacha Uongo.
 
Sana tu, ilisha filisika! Lakini kwa sasa ni mlipa kodi wa hali ya juu Tanzania (Katika top ten).

Si kweli kwamba mashirika yote yaliyobinafsishwa yalikua hayafanyi vizuri.Faiza hapo umetudanganya kuna mashirika kama TBL na Sigara yalikua yanafanya vizuri sana.

NMB inafanya vizur kwa sababu serikali ambayo inawatumishi wengi na transaction nyingi wamengia nao mkataba hata ukimpta mtu yoyote aendeshe NMB itafanya vizuri tu
 
Huyu jamaa ndugu yake ni mwenyekiti wa ccm mkoa wa mbeya anaitwa Nawab Mulla, wamefanya sana biashara haramu ya pembe. Pia wana kampuni ya usafirishaji inaitwa "Usangu Logistics".
 
Ni mbulushi wa mbalali pale chimala na ni ukoo mmoja na akina mulla mwenyekiti wa ccm mby, ana ndugu zake akina abullbasati mulla nae anawina arusha, mwingine anaitwa khosrhed mulla, pia wana usangu logitic compuni ya usafirishaji inaendeshwa na ndugu yao mwingine nae ukoo huo huo wa mulla
 
Hawa akina mulla wapo wengi kuna mulla ambae anamiliki kampuni ya ndege arabuni kuna mulla mwengine yupo ubena na shamba la chai na kuna mulla wanaomiliki mashamba ya mkonge tanga kupitia kampuni ya tancord. Wote hawa asili yao ni rujewa ambako kuna mulla mwengine ambaye anawadhifa ndani ya chama tawala mbeya.tueleweshane wana jamii huu ni mtandao au?
Na kuna Mulla anayemiliki Masaburi ya Faiza Fox.
 
<font color="#0000cd"><font size="4"><span style="font-family: arial black">Hivi wakuu kuna kipindi ililetwa maneno kwamba mheshimiwa JK anakula dada ya RA. Je hii ilikuwa na ukweli? Na kama ni kweli je huyu dada ya RA anafanya shughuli gani au anajishughulisha na nini? Maana tusiwe tuna pata shida kukimbizana na mambo ambayo tunaweza kupata shortcuts zake.<br />
<br />
</span></font></font><font color="#ff0000"><font size="4"><span style="font-family: arial black">Faiza Foxy</span></font></font><font color="#0000CD"><font size="4"><span style="font-family: arial black"> unaweza kutoa data kidogo?</span></font></font>
<br />
<br />
Inawezekana ndiye mwenyewe FF!Maana ana undugu na hawa akina mulla kama alivyo RA.Kwahiyo FF yaweza kuwa ni sista ya RA na pia ndo ni kitu ya mkulu wa kaya.
 
Capture and export of live animals and birds is conducted in accordance with the Wildlife Conservation Act No. 12 of 1974 and resolutions of the Convention on International Trade of Endangered Species of Wild Fauna and Flora (CITES). The live animal trade is also conducted in accordance with the International Air Transport Association (IATA) regulations, with regard to the size of the boxes/containers allowed to transport specific animal species in order to avoid injuries or death of the same. The principle behind the live animal trade is sustainability. CITES may prohibit exportation of animals whose trade is not sustainable. On these grounds it is obvious that CITES and therefore, its 150 members recognise that the Tanzanian live animal trade is sustainable.

Live animal traders who exports animals, birds and other live specimens are obliged to adhere to the following procedure:

i) Must hold valid licence to trade on live animals.
ii) Must hold a capture permit and thereafter an ownership permit./certificate. The number of animals possessed and the number of animals listed on the ownership permit must be consistent with the number of animals that were listed in the capture permit and actually captured and certified.
iii) Must obtain an export permit for animals listed on the ownership permit/certificate.
iv) The Officer at the point of exit must certify that the animals exported are those listed on the certificate of export. The number of animals to be exported must tally with the number listed on the certificate of export.

Verification of exported animals is conducted in collaboration with the police and customs officials.

v) The plane that will carry live animals is inspected by the Dar es Salaam and Kilimanjaro Handling Companies’ Officials.
vi) For animals listed under CITES, appropriate export and import certificates are used to export the said specimens. If there is any anomaly in exporting CITES species, the importing country notifies CITES Secretariat, which in turn notifies the exporting country, and the animals in question are immediately returned to the country of export

Were all the above procedures followed? Ref. KIA scandal.
 
Back
Top Bottom