Huyu ndiye mume wangu

Hakuna aliyekamilika. Jifunze kuyakubali mapungufu yake na ufurahie mazuri yake. Kama anakukwaza mueleze. Mahusiano yenu yanajengwa na nyinyi wawili. Kama hamuongei hizi mambo unakuja kupost huku ni mapuuza na inapaswa uadhibiwe.!
 
Sasa ndiyo nini kuja kuniandika humu Best? 😜


 
Suala la kwenda sokon mwenyewe huenda anaogopa akikupa pesa ya mehemez nyingine utamla ganji.
Halaf mwanaume kumsifia eti anajua kupika anafua nguo mara anaosha vyombo huko n kumdharirisha tu mumeo. Sisi wanaume tunamuona kama mume "bwege" tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haaaaaaaaaaaaaaaa mme wenu
 
Baada ya hapo.... ndio hapo tunasemaga kila ua sio waridi. Kwenye kitanda wema wote hupotea...

Maandamano hayana mahaba
Babu kwa heshimu na taadhima naomba unichagulie waridi moja zuri linalonifaa ila lisiwe ni mchepuko wako.

Maendeleo hayana chama
 
Babu kwa heshimu na taadhima naomba unichagulie waridi moja zuri linalonifaa ila lisiwe ni mchepuko wako.

Maendeleo hayana chama
Nitajie watatu ambao mtima wako umewatunuku nikuchagulie mmoja
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Daaahhhh kumbe babu na wewe ni baharia

Maendeleo hayana chama
Hapana sheikh wangu. Labda itokee tu
 
Nitajie watatu ambao mtima wako umewatunuku nikuchagulie mmoja
Babu mi hata siwajui kwa kweli, wewe ndie unajua tabia za wajukuu wako wote humu, ila nichagulie mwenye aibu aibu kama ledada mi sitaki mcharuko.

Maendeleo hayana chama
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…