Huyu ndiye mume wangu

Mimi naomba kuuona upande wa pili sasa.
 
Huyo bushoke huyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nipo hivyo pia. Sema sasa upande wa pili sio muongeaji kwa kweli.
 
Sipendi mwanamke anayetaka nifanye majukumu yake, yaan yangu nifanye halafu na yako nifanye ahaaaa big No
 
Only stupid woman will enjoy this.....Tena Yule anaejifanya digitali, msomi ila hana hata chembe ya maadili.....bullshit....hana hata haya
 
Haya weka namba ya mganga wako iwasadie na wenzio.

Maana nimeangalia kwenye rekodi zetu za kiumeni nimeambiwa mwanaume wa aina hiyo mara ya mwisho alionekana huko Nanjilinji enzi za vita ya maji maji.

[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]

- KANA -
 
Lile limbwata nililokuletea uniwekee bado lipo au niongeze stock?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…