STEPHEN JR
Member
- May 21, 2011
- 14
- 3
Wana JF mmemsikia waziri mchovu wa fedha Tz anasema eti pesa yetu inaposhuka thamani eti serikali yao haina la kufanya kwa sababu ya uchumi huria,kweli ni timamu huyu? Wachumi wenzangu tusaidiane kumuelimisha huyu