Huyu ndiye Mkullo

Huyu ndiye Mkullo

we need a government....we need a government!
 
Ataisaidia vp Tanzania wakati Historia inamhukumu. Siku walipomteua Mkullo kuwa waziri wa fedha nilisema hivi mnamjua huyu jamaa? Ana historia kila anapopagusa akiondoka anapaacha hoi bin Taaban!!! Hana anachokijua zaidi ya kutafuta mirija ya ufisadi. Mnakumbuka NPF (National Provident Fund) . Aliondoka shirika likiwa limeelemewa na mzigo wa madeni na tuhuma za rushwa. Mkapa alikuja kulifuta shirika likaundwa NSSF. Sasa amepewa hazina ya nchi usifikirie kwa kiwango gani anatafuna nchi maana unaweza kupandwa na hasira ukafa bure. Tafuteni Thread The Case against Mkulo halafu linganisha na kinachoendelea Wizara ya Fedha ndio utaelewa ni nani.
 
Wana JF mmemsikia waziri mchovu wa fedha Tz anasema eti pesa yetu inaposhuka thamani eti serikali yao haina la kufanya kwa sababu ya uchumi huria,kweli ni timamu huyu? Wachumi wenzangu tusaidiane kumuelimisha huyu

Nimewai kupanga hapa JF orodha ya mawaziri vilaza....na waliowai kutoa kauli tata Mkullo is among the best(TOP 5)
  1. M.Mkulo
  2. Ngeleja
  3. Kawambwa
  4. Mkuchika
  5. Ghasia
  6. Wasira
  7. Lukuvi
Hawa ni kati ya mawaziri wanaoingia katika kitabu cha viongozi vilaza,never ever seen in this country since independence....
 
Yuko sahihi na si kulaumiwa kwa matamshi yake bali Serikali na policy zake za privatization with free market economy.Iwapo katika sera ya soko huria Serikali haikuweka exclusive clause ya Government intervention pale uhuria wa soko unapo athiri watu wake basi hapa maneno ya Mkullo yana prevail.

Nchi makini haiwezi kuruhusu soko huria kutawala uchumi wake na wananchi wake.Hapa kuna njia kuu mbili za kuiwezesha Serikali kumiliki uchumi wake nazo ni ''fiscal policy'' na ''monetary policy'' vyote hivi vinaweza kufanya kazi pindi ''pump priming policy'' imekuwa imposed in good manner.

Watendaji kazi wetu kwa sasa hasa TRA,Wizara ya Fedha na BOT wametupa mbali taaluma zao,wengi wako katika utafutaji wa kujinufaisha kwa kujilimbikizia vipato,hawa ni wapenda safari za nje kwa kigezo cha kujifunza kumbe ni njia ya kufanya biashara zao binafsi na si shule.


Ukweli wa haya yote ni shida zinazoendelea kutukumba huku tukijidai kuwa tunawasomi.Shule usipoiendeleza ni sawa na kutokuwa na shule.

Hiyo ndo sababu moawapo ya msingi. Hizo fiscal policy na monetary policy mbona zimeshazikwa mkuu BOT na Wizara ya Fedha, kilichobaki ni policy of the politics, fisadis policy na squandering policy.
Sababu nyingine ni hawa mafisadis ambao kazi yao ni kununua dola na kuzificha ndani au kuzisafirisha nje (typical of capital flight) na hivyo kupelekea na uhaba wa fedha za kigeni za kuagiza mahitaji (movement of money without productive transactions) ultimately tunabaki na madafu mengi yasiyokuwa well manged. Pia TRA wapuuzi sana hawa, wanaruhusu hata vitu vya kijinga kuingia nchini toka nje ya nchi hali ya kuwa wanajua kwamba unapoleta chochote hapa nchi unakuwa umetumia foreign currency na kwa kuwa bidhaa uliyoleta haina matumizi inakuwa just disposal. Hii maana yake nini, tumewasomesha kwa pesa zetu then wanaruhusu wanasesere waingie nchini, nenda kariako na ilala ukaangalie mascrepa ya magari yasiyofaa kwa na kazi yoyote ile yamejazana. Kweli TRA hamuoni haya, nyie mnajua kuchukua kodi na rushwa hali yakuwa negative impact yake ni kubwa kuliko hiyo tax mnaowatoza. BOT inashindwa hata kusimamia sheria yake yenyewe, angalia nchi ilivyo rahisi hii kubalidilisha fedha za kigeni utakavyo, huulizwi hata jina lako. Hivi huwa mnapeleka taarifa gani Wizara ya Fedha inayowafanya waweze kufanya demand forecasting ikwa hata mzunguko wa fedha za kigeni hamuujui. Mnakera na mnaboa bana mmejazana akina MA, PhD lakini hamna kitu si bora tulete watoto wa shule za kata tu waongoze hizo BOT na TRA!
 
Mnashangaa nini wakati hata watu wa Mkullo hawajui ni nini vyanzo vya mapato ya serikali .Neno balance of trade ili kukuza uchumi wa Nchi hawajui maana yake nini na hata Mkullo ndiyo maana hajui namna ya ku rescure pesa yetu .Maana msingi mama wa uchumi wa Nchi na hata kuwa na strong currency lazima kuwe na balance of trade ,sasa if you only spending kwa safari and importing hata shanga unategemea nini ?
 
Kwa hali hii Tz miaka isiyozidi minne ijayo itakua kama zimbabwe bila sababu Mungu ndo tegemeo letu tu kwa viongoz wetu washaonyesha dhahiri wamekwisha shindwa
 
Mkulo and the whole cabinet are failures.

This guy is actually very dangerous because he is just a puppet of the few & mighty. & he seems very incompetent in his job, like several others in this cabinet.
I concur with the above thought, this guy and the current President's WHOLE cabinet is a FAILURE. But this failure did not happen overnight, its left over from the previous President's cabinet also.
 
Wana JF mmemsikia waziri mchovu wa fedha Tz anasema eti pesa yetu inaposhuka thamani eti serikali yao haina la kufanya kwa sababu ya uchumi huria,kweli ni timamu huyu? Wachumi wenzangu tusaidiane kumuelimisha huyu

Source na context tuchambuwe, maana magwanda mnajulikana kwa kuchakachuwa maneno!
 
Nimewai kupanga hapa JF orodha ya mawaziri vilaza....na waliowai kutoa kauli tata Mkullo is among the best(TOP 5)
  1. M.Mkulo
  2. Ngeleja
  3. Kawambwa
  4. Mkuchika
  5. Ghasia
  6. Wasira
  7. Lukuvi
Hawa ni kati ya mawaziri wanaoingia katika kitabu cha viongozi vilaza,never ever seen in this country since independence....
Duh Mkuu Sofi Simba Yupo Kundi Lipi?
 
Awamu ya nne ilipoingia madarakani ilikuta large amount of foreign reserves. Na hii ilitokana na exports, walichokifanya wakaanza kutumia kwa safari za nje na ku-release reserve to local market ili kustabilizing exchange rates bila ya kuwa strong exports ku-replace them. matokeo yake mafisadi waliokuwa na mabilioni ya hela za madafu wamezinunua na kuzihamishia kwenye offshore accounts zao. Nchi imebakia na deficit ya forex while demand is high(to sustain imports, e.g oil etc) what do you expect?, the price of forex going up.

Hapa ni mchanganyiko wa yote, poor economy due to the lack or decrease of exports while import we have increase in import(which needs forex) and poor monetary policies. walipoingiamadarakani wakaona kama vile "John Silver" and treasury island, wakajua hazitaisha, mara mikataba ya umeme wadharura kwa washikaji yote inalipwa by USD, yaani Group la Mtandao liliingia madarakani kwa style ya "Locusts" Nzige wakaanza kutafuna mazao huku wakijisaidia mpaka shamba sasa limebaki jeupe, wanaoathirika ni ordinary citizens.

Tanzania tuna dhahabu na madini ya kila aina, kwa mikataba mibovu, ni kwamba kinachofanyika ni mavuno yasiyokuwa na faida kwa nchi, tungekuwa na policy ya mauzo yote ya madini nje pesa zake lazima zirudi Tanzania as forex na kuhifadhiwa kwenye mabank ya nyumbani, tatizo hili lisingekuwepo Shilingi ingekuwa stable, ila wanauza na pesa inabakia hukohuko walipouza nchi ya ajabu kabisa hii.
Mkuu nichukue nafasi hii kukushukuru kwa bonge la analysis.you deserve to be a great thinker kupitia huu mchango wako. si wengine wanachangia pumba tu. Thanx again.
 
Kama BOT ingekuwa na watu makini a substantial amount of our reserves would be in Gold ; ambayo sasa hivi bei yake inapaa kwenye soko la dunia hivyo basi ingekuwa rahisi kuitumia dhahabu hiyo kustabilize shillingi yetu!!
mkuu huko BOT wamejaa watoto wa vigogo tu. shule au umakini si kigezo kabisa. wewe jaribu kudodosa utaona nia akina nani wapo pale. utasikia .....sumaye, .......lowasa, .......kawawa, ........mkapa, ........luhanjo. we fuatilia utajua tu ninachomaanisha.
 
tatizo la wahamiaji kuongoza nchi tunamalizwa kama RUSSIA huyu jamaa hana mipango makini wala hana huruma na mtanzania
...Duh! Kweli huyu jamaa sio mwenzetu eh?? Niliwahi kusikia kuna mtu anawajua vizuri hata mababu na mabibi zake ikasemekana anatoka pale jirani ziwani?
 
Tanzania matatizo sugu ambalo ni udini ambalo limetuletea

3. Udhibiti wa uraia
nchi ambayo haijui nani ni raia au siyo raia wake haiwezi kuendelea hata kidogo, maendeleo huja kwa kazi ngumu na unchungu wa wananchi kuziendeleza na kusimamia raslimali zao. wasimamizi wa raslimali zetu wanatajwa kuwa wamalawi, wasomali, wacongo, wanyarwanda, warundi nk nk huku wamiliki wa biashara kubwa kubwa ni wahindi na waarabu. To be honest tanzania ni nchi pekee duniani ambako watu ambao siyo raia wanamiliki uchumi wa nchi na ni viongozi wa ngazi za juu serkalini. Hii hali inachangiwa sana na udini maana, mmatumbi anamwona mpakistani kuwa ndugu yake wa karibu zaidi kuliko mmatumbi wenzie anaetofautiana nae kiimani.

Kwenye taarifa ya habari leo asubuhi nilisikia wakimbizi wa kambi fulani (I didnt get the name) wakitaka wapewe hati ya uraia ili watakapoingia mikoani wasije wakabugudhiwa. Labda nilisikia vibaya kuna mwingine aliyesikia hili.
 
Wana JF mmemsikia waziri mchovu wa fedha Tz anasema eti pesa yetu inaposhuka thamani eti serikali yao haina la kufanya kwa sababu ya uchumi huria,kweli ni timamu huyu? Wachumi wenzangu tusaidiane kumuelimisha huyu
<br />
<br />
/Kwanza huyo ni mmalawi Hana uchungu nawa Tanzania
 
Hapa kuna matatizo zaidi ya tunavyoona

1.siasa na professions kuchanganywa
2.udini
3.ujinga wetu wananchi
4.ulafi wa viongozi na wote wanaopata nafasi
5.Government without gorvernance
7.Fear due to ignorance
 
Back
Top Bottom