Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,434
- 21,122
Katika hali iliyowaacha wengi mdomo wazi ni suala la African giant Burna boy kugoma kufanya show Dubai yenye thamani ya zaidi ya dola za kimarekani milioni 5 kisa tu kanyimwa kibali cha kuvuta bangi .
Ukisikia bangi nibangue ndio hii sasa 🤣🤣🤣🤣🤣
Nikiangali ushikaji wa kimtindo uliopo kati yake na yule jamaa yetu wa chitoholi ,nina imani kubwa huyu alichangia kwa namna Moja au nyingine kumfanya jamaa naye awe mla ganja mpaka kuwa addicted kama alivyo yeye.
Jamaa hakuishia hapo katoa mpaka free style kuelezea hilo jambo kwamba eti hajutii kukosa hicho kiasi maana ni kidogo sana kwake.
Video hii hapa chini kwa ihsani ya Sammisago.
Ukisikia bangi nibangue ndio hii sasa 🤣🤣🤣🤣🤣
Nikiangali ushikaji wa kimtindo uliopo kati yake na yule jamaa yetu wa chitoholi ,nina imani kubwa huyu alichangia kwa namna Moja au nyingine kumfanya jamaa naye awe mla ganja mpaka kuwa addicted kama alivyo yeye.
Jamaa hakuishia hapo katoa mpaka free style kuelezea hilo jambo kwamba eti hajutii kukosa hicho kiasi maana ni kidogo sana kwake.
Video hii hapa chini kwa ihsani ya Sammisago.