Huyu ndiye mbunge wa Morogoro mjini!

Huyu ndiye mbunge wa Morogoro mjini!

CV ya Mbunge wa Mji kasoro bahari,je inakaidhi viwango vya Sayansi na technolojia ya karne ya 21? Jamaa ni Form 4 tena Failure wa Forst secondary those undefine years back! 2015 vipi hii tukiibadili?




Kwa maoni yangu,Kwa kuwa wakazi wa mji kasoro bahari wamemkubali kwa kumpima na wengine na kumwona anafaa,anafaa na hakuna haja ya kuhoji kwani hakuna malalamiko ya kushindwa kwake kutekeleza majukumu yake ya kibunge.Kigezo cha elimu hakiwezi kuwa hoja kwani Sheria mama ya nchi yetu inamruhusu na ni haki yake ya kikatiba kuchagua na kuchaguliwa kwa elimu aliyonayo ya kidato cha nne.Pia viongozi wengi wanafanya vibaya katika nyazifa zao pamoja na elimu zao kubwa.Hivyo ni busara tu kwa mwaka 2015 kumpima kwa kazi atakayokuwa amefanya na si kwa kigezo cha elimu yake.Nawasilisha!
Member of Parliament CV

SalutationHonourableMember picture
1648.jpg
First Name: Abdul-Aziz
Middle Name:Mohamed
Last Name:Abood
Constituent:Morogoro Mjini
Political Party:CCM
Office Location:P.O. Box 127, Morogoro.
Office Phone: +255 754 261 888/+255 784 261 888/+255 758 500 000
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: aabood@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 27 May 1959

[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]

[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
School Name/Location
Bungo Primary School
Forest Hill Secondary School

[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION [/TH]

[TH="width: 27%"] Course/Degree/Award [/TH]
[TH="width: 15%, align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]

[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]

[TD="align: center"]Secondary Education[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
Company Name
The Parliament of TanzaniaMember - Morogoro Mjini
Abood Group Inc.Director

[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]

[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From Date [/TH]
[TH="align: center"] To Date [/TH]

[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]

[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember of National Executive Committee (NEC)
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember of Regional Committee
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember of Finance Committee

[TH="colspan: 4, align: left"] POLITICAL EXPERIENCE [/TH]

[TH="class: text_menu"]Ministry/Political Party/Location[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]

[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"][/TD]

[TD="align: center"]2006[/TD]
[TD="align: center"][/TD]

[TD="align: center"]2000[/TD]


Call
Send SMS
Add to Skype
You'll need Skype CreditFree via Skype
 
Wabunge ni public figures. Wana nafasi ya kututungia sheria na kuathiri namna tunavyoishi leo na jinsi watoto na wajukuu wetu watakavyoishi.

Kuwatathmini wabunge kwa vigezo vyote ni muhimu, na hata nchi zilizoendelea wanafanya sana. Kigezo kimoja muhimu cha tathmini ni elimu. Kama ana elimu ndogo tuelezeni compensating qualities zake.

Thread hii imeanzishwa kwa ajili ya tathmini ya mbunge wa Morogoro mjini. Hao wengine unaweza kuanzisha thread za kutathmini utekelezaji wao wa majukumu yao ya msingi. Ziko nyingine nyingi tu za kuwatathmini akina Mnyika, Zitto, Mdee n.k.



Mkuu mbona unanikwepa? Unasemaje kuhusu elimu ya Jacob Zuma na utendaji kazi wake kama rais wa taifa tajiri kuliko yote Afrika?
 
CV ya Mbunge wa Mji kasoro bahari,je inakaidhi viwango vya Sayansi na technolojia ya karne ya 21? Jamaa ni Form 4 tena Failure wa Forst secondary those undefine years back! 2015 vipi hii tukiibadili?








Member of Parliament CV

Salutation
Honourable
Member picture
1648.jpg

First Name:
Abdul-Aziz
Middle Name:
Mohamed
Last Name:
Abood
Constituent:
Morogoro Mjini
Political Party:
CCM
Office Location:
P.O. Box 127, Morogoro.
Office Phone:
+255 754 261 888/+255 784 261 888/+255 758 500 000
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:
aabood@parliament.go.tz
Member Status:
Current Member
Date of Birth
27 May 1959

[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL
[/TH]

[TD="width: 20%"] Member Type:
[/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member
[/TD]
School Name/Location
Bungo Primary School
Forest Hill Secondary School

[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION
[/TH]

[TH="width: 27%"] Course/Degree/Award
[/TH]
[TH="width: 15%, align: center"] Start Date
[/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date
[/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level
[/TH]

[TD="align: center"]Primary Education
[/TD]
[TD="align: center"]-
[/TD]
[TD="align: center"]-
[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY
[/TD]

[TD="align: center"]Secondary Education
[/TD]
[TD="align: center"]-
[/TD]
[TD="align: center"]-
[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY
[/TD]
Company Name
The Parliament of Tanzania
Member - Morogoro Mjini
Abood Group Inc.
Director

[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY
[/TH]

[TH="align: center"] Position
[/TH]
[TH="align: center"] From Date
[/TH]
[TH="align: center"] To Date
[/TH]

[TD="align: center"]2010
[/TD]
[TD="align: center"]2015
[/TD]

[TD="align: center"]1984
[/TD]
[TD="align: center"]2010
[/TD]
Chama Cha Mapinduzi, CCM
Member of National Executive Committee (NEC)
Chama Cha Mapinduzi, CCM
Member of Regional Committee
Chama Cha Mapinduzi, CCM
Member of Finance Committee

[TH="colspan: 4, align: left"] POLITICAL EXPERIENCE
[/TH]

[TH="class: text_menu"]Ministry/Political Party/Location
[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position
[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From
[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To
[/TH]

[TD="align: center"]2007
[/TD]
[TD="align: center"][/TD]

[TD="align: center"]2006
[/TD]
[TD="align: center"][/TD]

[TD="align: center"]2000
[/TD]

Haya,tupe na wewe CV yako,inaelekea itakuwa kali zaidi ya hii!
 
CV ya Mbunge wa Mji kasoro bahari,je inakaidhi viwango vya Sayansi na technolojia ya karne ya 21? Jamaa ni Form 4 tena Failure wa Forst secondary those undefine years back! 2015 vipi hii tukiibadili?





[h=2]Member of Parliament CV[/h]
SalutationHonourable
First Name: Abdul-Aziz
Middle Name: Mohamed
Last Name:Abood
Constituent: Morogoro Mjini
Political Party: CCM
Office Location: P.O. Box 127, Morogoro.
Office Phone: +255 754 261 888/+255 784 261 888/+255 758 500 000
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: aabood@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 27 May 1959

[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]

[TD="width: 42%"] Member picture
1648.jpg
[/TD]

[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
Bungo Primary School
Forest Hill Secondary School

[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION [/TH]

[TH="width: 35%"] School Name/Location [/TH]
[TH="width: 27%"] Course/Degree/Award [/TH]
[TH="width: 15%, align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]

[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]

[TD="align: center"]Secondary Education[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
Company Name
The Parliament of TanzaniaMember - Morogoro Mjini
Abood Group Inc.Director

[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]

[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From Date [/TH]
[TH="align: center"] To Date [/TH]

[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]

[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember of National Executive Committee (NEC)
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember of Regional Committee
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember of Finance Committee

[TH="colspan: 4, align: left"] POLITICAL EXPERIENCE [/TH]

[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]

[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"][/TD]

[TD="align: center"]2006[/TD]
[TD="align: center"][/TD]

[TD="align: center"]2000[/TD]

onyesha matokeo yake basi mbn hujaonyesha jinsi alivyopata hyo failure.
 
Failure haipimwi kwa CV, ingekuwa hivyo Chenge wa Harvard angekuwa a big success.

Huyu anaweza kusema ana integrity ya kutotaka kudanganya elimu yake kama wengi tunaowajua.

Tuambieni kingine. Kama ana cha kusemwa si kwa sababu ameishia Form Four.
 
Mkuu mbona unanikwepa? Unasemaje kuhusu elimu ya Jacob Zuma na utendaji kazi wake kama rais wa taifa tajiri kuliko yote Afrika?
Aboud elimu ni chini na utendaji katika majukumu ya msingi ya mbunge pia ni chini. Kama una ushahidi kupinga hili nakaribisha.

Tunaomba utoe rekodi ya utendaji wa Aboud katika majukumu yake ya msingi kama mbunge, sio kama Project manager wa NGO au kiongozi wa organisation ya kutoa misaada.
 
Aboud elimu ni chini na utendaji katika majukumu ya msingi ya mbunge pia ni chini. Kama una ushahidi kupinga hili nakaribisha.

Tunaomba utoe rekodi ya utendaji wa Aboud katika majukumu yake ya msingi kama mbunge, sio kama Project manager wa NGO au kiongozi wa organisation ya kutoa misaada.


Mbona unakuwa kigeugeu mkuu? Comment yangu ya kwanza nimesema mumhukumu huyu mtu kwa utendaji kazi wake lakini si kwa elimu yake!Maana wengi wenye elimu tumewaona wanafika majimboni kipindi cha uchaguzi tu muda mwingine wapo busy na ufisadi! nNa suala la kutokuwajibika kwa wananchi ni tatizo la kitaifa halina kabisa uhusiano na elimu! Jimboni kwetu tumeshawahi kuwa na mbunge profesa lakini nadhani ni mbunge aliyeboronga kuliko wote kwa kipindi hiki tangu siasa za vyama vingi zimeanza nchini!
 
Mbona unakuwa kigeugeu mkuu? Comment yangu ya kwanza nimesema mumhukumu huyu mtu kwa utendaji kazi wake lakini si kwa elimu yake!Maana wengi wenye elimu tumewaona wanafika majimboni kipindi cha uchaguzi tu muda mwingine wapo busy na ufisadi! nNa suala la kutokuwajibika kwa wananchi ni tatizo la kitaifa halina kabisa uhusiano na elimu! Jimboni kwetu tumeshawahi kuwa na mbunge profesa lakini nadhani ni mbunge aliyeboronga kuliko wote kwa kipindi hiki tangu siasa za vyama vingi zimeanza nchini!
Daima hoja yangu imejikita katika kuhoji utekelezaji wa majukumu ya msingi ya mbunge.

Thread ni hii hii angalia upya kwa makini posts zangu. Wala sijawa kigeugeu.
 
Tatizo watu wa morogoro mnawapenda sana wahindi. Nafuu huyu wa form four, kuna waliokuwa wamechagua hata wa drs la saba . Samahani mtoa hoja hivi mhe sana Shamin Khan yupo wapi siku hizi eti. Tumemmisi kwenye politics.
 
Mkuu ITEGAMATWI ninakungoja upitie tena posts zangu, kama kuna hoja zaidi tuendelee.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mwanaukweli, nimependa ulivyotumia muda wako kuelimisha baadhi ya wanajamvi! Hii imetokana na uelewa wako mkubwa juu ya kazi za mbunge. Ukweli ni kwamba bado safari tunayo. Najaribu kufikiri hoja za baadhi ya wana-jf mpaka naogopa. Zaidi najiuliza inakuwaje tumefikia kiwango cha kuelewa kuwa wabunge ni watu wakugawa pesa na kutoa misaada. Rejea mifuko ya jimbo na jinsi inavyotengeneza wabunge kuwa miungu-watu!
 
Uzuri wake ni mtu wa vitendo tu. Akiahidi kitu anatekeleza. Hao wenye CV nzuri wamefanya nini?

You have written well my brother! kuna maana gani kupiga kelele bungeni na hakuna kinachofanyika, kwa muda mfupi tu aliokaa katika ofisi ya mbunge Abood kafanya mengi hapa morogoro mjini! Barabara ya Mazimbu ilikuwa haipitiki kwa miaka nenda rudi lakini sasa hivi ni mkeka! mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, this businessman/politician deserve second term and that is if he will contest in the coming election! Thumb up and keep it up Abood! waache waseme na kuandika midomo na mikono imeubwa kwa kazi hizo!
 
You have written well my brother! kuna maana gani kupiga kelele bungeni na hakuna kinachofanyika, kwa muda mfupi tu aliokaa katika ofisi ya mbunge Abood kafanya mengi hapa morogoro mjini! Barabara ya Mazimbu ilikuwa haipitiki kwa miaka nenda rudi lakini sasa hivi ni mkeka! mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, this businessman/politician deserve second term and that is if he will contest in the coming election! Thumb up and keep it up Abood! waache waseme na kuandika midomo na mikono imeubwa kwa kazi hizo!
Kazi ya Mbunge wa Morogoro mjini ni kujenga barabara ya Mazimbu?
 
Kazi ya Mbunge wa Morogoro mjini ni kujenga barabara ya Mazimbu?

Si kazi yake kujenga barabara, ujenzi wa barabara unafanywa na wakandarasi yeye kazi yake ilikuwa ni kusimamia tu huo ujenzi, well na huo ni mfano mmoja tu wa mengi aliyokwisha fanya! jingine ni kupeleka maji kule Kihonda na kujenga visima vya maji kule Lukobe hii yote ni sehemu ya majukumu yake bila kusahau mambo mengine madogo tu aliyoyafanya kama mtanzania wa kawaida kama vile kupeleka misaada ya vitanda katika hospitali kuu ya morogoro na ile ya Kinguruwila! ni kweli kuwa majukumu yake ni zaidi ya hayo aliyokwisha yafanya, lakini je ni mbunge yupi kabla yake aliyafanya haya? inawezekana wewe si makzi wa morogoro sawa wala huzuiwi kutoa maoni yako kama unaona hajafanya lolote, lakini inasemwa " Ni yule avaae kiatu ndio ajuae ni wapi kinabana" sisi wakazi wa morogoro ndio tunajua ni kwa kiasi gani tulikuwa tunakerwa na ile barabara ya mazimbu na kwa kiasi gani sasa ni msaada na nafuu kubwa!
 
Back
Top Bottom