Huyu ndiye mbunge wa Morogoro mjini!

Huyu ndiye mbunge wa Morogoro mjini!

Mtoa mada unaijua elimu ya Rais wa Afrika kusini Jacob Zuma?

Hebu mumlaumu huyo jamaa kwa utendaji wake lakini siyo elimu! Kama unabisha hoji elimu ya Lema au Vicent Nyerere huko majimboni kwao uone utakavyong'olewa meno.
 
Achana na CV angalia utendaji wake kwenye jimbo lake, kuna Majimbo walichagua Maprof na MaDk lakini hawafanyi kitu majimboni mwao. Ubunge siyo kazi ya kusomea na wala mbunge siyo CEO au MD, Mbunge ni mtumishi wa watu na siyo lazima uwe na degree ndiyo utumikie wananchi wako, huyo jamaa ana resource za kuwasaidia wananchi wake kukabiliana na hali ngumu ya maisha.
p-u-m-b-a-fu, yaan mbunge anatakiwa atumie pesa yake kuwajenga shule/ hospt au barabara?

watu km nyie mnaishi tu coz illegal to shoot You
 
p-u-m-b-a-fu, yaan mbunge anatakiwa atumie pesa yake kuwajenga shule/ hospt au barabara?

watu km nyie mnaishi tu coz illegal to shoot You

Tumesahaulishwa kabisa kazi za msingi za mbunge!
 
Sembago...!!!

Many many CCM MPs are F4 failures na viti maalum usiseme...!!!

Kuna list karibu ya wabunge 98 hivi all ni F4 failures na ilikuwa hapa at the end of last year...!!

Ni hatari mno...!!!

Ingia bunge website uone..!!!




CV ya Mbunge wa Mji kasoro bahari,je inakaidhi viwango vya Sayansi na technolojia ya karne ya 21? Jamaa ni Form 4 tena Failure wa Forst secondary those undefine years back! 2015 vipi hii tukiibadili?





[h=2]Member of Parliament CV[/h]
SalutationHonourable
First Name: Abdul-Aziz
Middle Name: Mohamed
Last Name:Abood
Constituent: Morogoro Mjini
Political Party: CCM
Office Location: P.O. Box 127, Morogoro.
Office Phone: +255 754 261 888/+255 784 261 888/+255 758 500 000
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: aabood@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 27 May 1959

[TH="colspan: 3, align: left"] GENERAL [/TH]

[TD="width: 42%"] Member picture
1648.jpg
[/TD]

[TD="width: 20%"] Member Type: [/TD]
[TD="width: 38%"]Constituency Member[/TD]
Bungo Primary School
Forest Hill Secondary School

[TH="colspan: 5, align: left"] EDUCATION [/TH]

[TH="width: 35%"] School Name/Location [/TH]
[TH="width: 27%"] Course/Degree/Award [/TH]
[TH="width: 15%, align: center"] Start Date [/TH]
[TH="width: 13%, align: center"] End Date [/TH]
[TH="width: 10%, align: center"] Level [/TH]

[TD="align: center"]Primary Education[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]PRIMARY[/TD]

[TD="align: center"]Secondary Education[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]-[/TD]
[TD="align: center"]SECONDARY[/TD]
Company Name
The Parliament of TanzaniaMember - Morogoro Mjini
Abood Group Inc.Director

[TH="colspan: 4, align: left"] EMPLOYMENT HISTORY [/TH]

[TH="align: center"] Position [/TH]
[TH="align: center"] From Date [/TH]
[TH="align: center"] To Date [/TH]

[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"]2015[/TD]

[TD="align: center"]1984[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember of National Executive Committee (NEC)
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember of Regional Committee
Chama Cha Mapinduzi, CCMMember of Finance Committee

[TH="colspan: 4, align: left"] POLITICAL EXPERIENCE [/TH]

[TH="class: text_menu, width: 47%"]Ministry/Political Party/Location [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 31%, align: center"]Position [/TH]
[TH="class: text_menu, width: 12%, align: center"]From[/TH]
[TH="class: text_menu, width: 10%, align: center"]To[/TH]

[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"][/TD]

[TD="align: center"]2006[/TD]
[TD="align: center"][/TD]

[TD="align: center"]2000[/TD]
 
Mkuu inaonekana baadhi ya jamii kusoma siyo issue hata kidogo,issue kwao ni pesa.however,when it comes to public leadership lazima tuhoji elimu yake.
 
Kazi kuu za Bunge

  • Kutunga sheria
  • Kujadili mipango ya maendeleo na kupitisha makaridirio ya fedha za matumizi ya serikali kupitia Wizara husika.
  • Kudhibiti mwenendo wa serikali, wakati wabunge wanapouliza na kuhoji mambo mbalimbali ya serikali.

Nini kazi za Wabunge?
Kazi za Wabunge ni pamoja na:-

  • Kuwakilisha wananchi na kuwasilisha mawazo yao Bungeni ili yapatiwe ufumbuzi.
  • Kuhoji utendaji wa serikali
  • Kuchangia uboreshaji wa miswada kabla haijawa sheria, na kuipitisha miswada iliyoboreshwa

Kitu gani kitarajiwe kutoka kwa mbunge?
Mbunge anatarajiwa:-

  • Awe muelewa wa mahitaji na matatizo ya raia wake
  • Ashirikiane kwa karibu na raia wake katika kutatua matatizo yao na kuleta maendeleo kwa kusikiliza wananchi juu ya kero zao, kusimamia utendaji wa halmashauri, kwa kutetea mgao wa bajeti ya serikali (si kwa kutumia pesa zake binafsi)
  • Awawakilishe kikamilifu katika Bunge.
 
Achana na CV angalia utendaji wake kwenye jimbo lake, kuna Majimbo walichagua Maprof na MaDk lakini hawafanyi kitu majimboni mwao. Ubunge siyo kazi ya kusomea na wala mbunge siyo CEO au MD, Mbunge ni mtumishi wa watu na siyo lazima uwe na degree ndiyo utumikie wananchi wako, huyo jamaa ana resource za kuwasaidia wananchi wake kukabiliana na hali ngumu ya maisha.

Huu uwezo ni wa kudanganya watu kama wewe unayemchagua mbunge ili akupe gari la mazishi na kujenga kadaraja. Unashindwa kuhoji hata kodi unayolipa inaenda wapi hadi mbunge wako aingie mfukoni mwake??? Nyie ndio waleee mkipewa kanga na kofia basi shida zimeisha. Kuwa na mtazamo mpana na ona mbali.
 
kama ni hivi safi sana

Msinunuliwe kwa bei rahisi namna hiyo!

Hawa wafanyabiashara wamejua kuwa wakiingia ubunge wanafaidisha sana biashara zao kwa kujipatia tenda nyingi na marupurupu ya ubunge. Kisha wanawadanganyia wananchi kwa vihela vidogo kufanya mambo ambayo si majukumu ya mbunge. Yeye anafaidika zaidi, na wananchi wanakuwa wategemezi na waliopumbazwa zaidi.

Tumpime katika majukumu ya msingi ya mbunge.
 
Dah mbunge wangu jamani sina budi kumkubali kama baba wa kambo! Mm sikumchagua kwa kwakweli sina budi kukubali,huyubwana ukweli shule yake ni ndogo sanaa sijawahi kumuona hata kuchangia hoja bunguni,huwa najiuliza sijui huwasilisha kwa maandishi au?? Wanaopinga juu ya suala la elimu kwa wanasiasa pia hawana elimu,ndiomana walipendekeza angalau mgombea awe na kadigree kamoja kwaajili ya kumsaidia kujenga hoja kule mjengoni mimi nashangaa mtu shule ndogo unagombea nafasi kubwa kama ubunge mwisho wariku unatutia aibu.wanamorogoro tuamke hebu tujaribu upande mwingine pia .
 
jamaa ananiachaga hoi ana basi maalumu la kwenda kuzikia watu msiba ukitokea tu gari linapelekwa ,sijawahi ona akitoa gari kumpeleka mgonjwa hosipitali ,ila kwenye msiba haraka, mpaka kunakamati maalumu ya mazishi

Hospitali kuu ya Mkoa wa Moro haina dawa wala vifaa vya matibabu, sasa asafirishe wagonjwa kwenda kufanya nini huko?. Bora asaidie kuzika na ajifunze jinsi ccm itakavyozikwa 2015.
 
yap,elimu ndogo lakini anasimamia biashara kubwa na zinakwenda fresh tu,je angesoma kama wadau wanavyopendekeza c angekuwa zaidi ya hatari,jamani eeh,tuangalie utendaji wa mtu na c vyeti vyake,kama una mivyeti miingi halafu hamna kitu unachofanya kinachoonekana,elimu yako haitakuwa na umuhimu pia,gpa kubwa kazini kaputi,ptuuuuuuuu
 
nawadharau sana hawa watu wa morogoro mjini huwa wanamuabudu huyu jamaa kuliko na mungu
 
Umakini wa kuchagua wawakilishi ni muhimu sana kwani pale ni sehemu ya kutunga sheria na kusimamia serekali. Tukiwa na wabunge kama hao sidhani kama utungaji wa sheria utakuwa sawasawa
 
Achana na CV angalia utendaji wake kwenye jimbo lake, kuna Majimbo walichagua Maprof na MaDk lakini hawafanyi kitu majimboni mwao. Ubunge siyo kazi ya kusomea na wala mbunge siyo CEO au MD, Mbunge ni mtumishi wa watu na siyo lazima uwe na degree ndiyo utumikie wananchi wako, huyo jamaa ana resource za kuwasaidia wananchi wake kukabiliana na hali ngumu ya maisha.
Amesaidia nini kwenye ugumu wa wana morogoro???
Kwaani hao wasomi wamefanya nini? si wezi tu. bora hata abood anatujari watu Morogoro tukiwa na matatzi mbalimbali. Wasomi ni wezi tu. Sawa je amesaidia nini? au nyie ndo wale mkifiwa mnapata gari lakupeleka maiti makaburi ndo msaada?
Moja ya sehemu ambayo CCM wanajivunia kama ngome ni Morogoro, na sababu ni rahisi..........mjomba,nisaidie!!! yaanai dawa hukuweza nunua, ndugu kafariki, mtu analeta gari kwenda kuzika, unafurahi? huyo si ndo mchawi??? kwnn asitoe matibabu na dawa bure? tena moro mjini?? poleni
wakatabahu
 
yap,elimu ndogo lakini anasimamia biashara kubwa na zinakwenda fresh tu,je angesoma kama wadau wanavyopendekeza c angekuwa zaidi ya hatari,jamani eeh,tuangalie utendaji wa mtu na c vyeti vyake,kama una mivyeti miingi halafu hamna kitu unachofanya kinachoonekana,elimu yako haitakuwa na umuhimu pia,gpa kubwa kazini kaputi,ptuuuuuuuu

Hapa tunahoji utendaji wake katika majukumu yake ya msingi kama mbunge.

Wewe unatuonesha kusimamia biashara zake, hicho ni kitu kingine kabisa.

Tunaomba utueleze japo kidogo huyu Mheshimiwa amefanikiwa kiasi gani katika majukumu yake ya kibunge?
 
Jamani ingawa tumepata uhuru miaka 51 iliyopita bado tuko mbali sana.

Tumekuwa wategemezi kwa watu binafsi, badala ya kuhoji wanaotutoza kodi. Tumekubali kupumbazwa.

Leo watu hatuoni kama ni jukumu letu kuhoji kodi yetu na mikopo ambayo serikali inakopa imetumikaje. Na tukiwa na mwakilishi mwenye jukumu hilo (mbunge), lakini kwa kutuona tumelala akatupa vi ahadi ambavyo havileti maendeleo endelevu ili kutunyamazisha katika mambo ya msingi (ambayo ni usimamiaji wa utendaji wa Serikali), tunaridhika na tena tunajivunia.

Hakika safari bado ni ndefu sana.
 
Mwanaukweli kweli wewe mkweli manake umemsomesha jamaa mabaye akili imejaa umagamba tupu! Hat haoni reality of out World today,Nenda state kama utakuta Mbunge Form 4 Failure,anayway USA mbali sana ruka hapo Kenya tu,Hakuna Mbunge Kilaza kama huyu nayetambikia watu kwa magari ya Kuzikia.

Pia Huyu Micha ananifanya nione kichefuchefu,Hajui huyu ambaye nidye Mbunge nasaidia kwa Unafiki? hajui kwamba yeye alipwea viwanda Vitatu na kimoja kakifanya TV and Redio Abood na Kingibe anafugia Mbuzi,kanyima watu zaid i ya 3000 ajira? leo anajifanya anawasaidia.! Shame on Abood Aziz
 
Back
Top Bottom