Huyu ndege anaitwaje?

Huyu ndege anaitwaje?

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,129
Nawaona Sana huku ziwani.
IMG_20200402_150521.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
anaitwa Marabou Stork,huyu ni maarufu kwa kua shingoni kwake anamfukao(gullar sac) ambao anaweza weka mifupa mikubwa kabisa na kumwagia nyongo kwa muda mfupi ikasagika yote,

ni mkubwa pia,kwa hivyo huo mfuko una rahisisha digestion,

sasa sina hakika kama hilo jina ndo limechukuliwa uarabuni au wapi

#Stayhome safe COVID-19 is everywhere
 
Back
Top Bottom