Chakochangu
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 2,668
- 2,174
Mavazi hayo mara nyingi ni ya jamii za mashariki ya kati. Lakini wengi wetu tunadhani ni ya kidini, lakini ukweli ni kinyume.
Puppy tena? Sio calf kweli?
IRAQ, PALESTINA,LEBANON kuna WAkristu.Je Saudi Arabia,Kuweit,Oman,Muungano wa falme za Kiarabu,Bahrin,Qatar ,Yemen kuna waarabu Wakristu ? naombeni kujulishwa tafadhali .
walinakidali..
Ni moja kati ya zifuatazo Indonesia au Malaya(Malasia) .
Labda huko kwao ndio wanavyowaita hivyo...
Lakini ni kutokana na wingi wao.Indonesia my friend.
Hahahaaaaa. Jiraniii. Leo wapi?
Hahahahaha ni mu emmirate...
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Nina mishe nyingi za city centre jirani yangu...kwema lakini?
Mudubai huyo
Hao waliotaka kumdhuru jamaa Uislamu wenyewe hawaujui. Uislamu is alot more than dressing.Karucee , farkhina , utafiti , Nicas Mtei wote mpo sahihi, lakini jamii inayotuzunguka ndio tatizo, wameshakariri kanzu na mavazi yote ya kiarabu ni mavazi ya uislam/kiislam. wanasahau kama hayo ni mavazi ya utamaduni wa watu wa mashariki ya kati hata jews wanavaa kanzu na vilemba.
liliwahi tokea tukio kimara mwisho mtu alivaa hivyo akaenda baa akawa anakula kitimoto na washikaji zake, na yeye sio muislam anapenda tu kuvaa kanzu na bazee za kinaijeria, asikwambie mtu alianza muislam mmoja wakaitana wakawa wengi fujo kubwa sana ilitokea wakataka wamgawane mshikaji vipande vipande.
hakufanya kwa makusudi wala kwa lengo la kumdhihaki mtu, na wala msikiti haupo karibu na wanaomjua wanafahamu ndio mavazi anayoyapenda, hivyo walipaswa kuelewa. aliyekuja kuamua varangati ni polisi na mzee mmoja wa kiislam kuwaelewsha vijana hayo ni mavazi ya utamaduni wa watu wa mashariki ya kati na wala sio muislam tu anayevaa.
kwahiyo naungana na miss neddy kwa hili ijapokuwa hayo ni mavazi ya kiarabu lakini jamii isiyo elewa ndio tunayoishi nayo, mwanaume avae hivyo au mwanamke avae hijabu au kininja halafu akae bar uone moto wake.
Hahahahaha ni mu emmirate...
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Learning from you boo to stand firm in what I believe in.Aaaaanh kuna watu hawataki kusikia ukweli ila wao wanataka yale yaridhishayo nafsi zao tu Karucee uko sawa so far am very much pleased with the way you handle this!!!!!!
Allah akujaze kheir mam
Vipi kiuno? Mpira utachezeka kweli?