Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,196
- 34,502
Akija usione aibu tu.kahtaan njoo pande hizi umueleeshe Karucee maana ajitoa ufahamu huku.
Muislam yeyote mtiifu lazima avae hivyo na nilazima afuge ndevu kama unavyomuona nyau hapo juu!
Si ndo nyinyi mnashauri wanawake wa kiislam wavae kininja je, hiyo siyo culture ya waarab? Na tangu lini mmeanza kupinga utamaduni wa walio waletea dini?
Ngoja na mimi nikuitie wenzangu watoe maoni yao.
utafiti, OLESAIDIMU
Last edited by a moderator: