Huyu mzungu mwafrika au mwarabu jamani?

Huyu mzungu mwafrika au mwarabu jamani?

Herbalist Dr MziziMkavu

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,087
Reaction score
34,885
1795529_686048148114759_882512011_n.jpg
 
Mwarabu huyo si umeona ulivovaa......

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mzizi umeamua kuyadharirisha mavazi na haiba yenu ya kiislam? wewe si ulisema kuwa ni maalim? ndio maana mwenzako jana kauawa huko mbagala!
 
Last edited by a moderator:
Mzizi umeamua kuyadharirisha mavazi na haiba yenu ya kiislam? wewe si ulisema kuwa ni maalim? ndio maana mwenzako jana kauawa huko mbagala!

Sasa kayadhalilisha wapi? Sometimes cant we just laugh at simple things and let them slip?
 
Last edited by a moderator:
Sasa kayadhalilisha wapi? Sometimes cant we just laugh at simple things and let them slip?

Kama unaona hajadharirisha uislam, mwambie amvike hivyo then aende nae msikitini aone kitakachomtokea!
 
Kama unaona hajadharirisha uislam, mwambie amvike hivyo then aende nae msikitini aone kitakachomtokea!
But you are not being realistic.

Hilo si vazi la Kiislam. Ni vazi la Kiarabu. It is therefore not a symbol of religion but one of culture. A people's way of life my friend.
 
Huyo ni mwafrika tena kutoka kule kijiji cha mwenda pole, hayo mavazi aliyatinga kwenda kuhiji hadi leo hajarudi
 
kahtaan njoo pande hizi umueleeshe Karucee maana ajitoa ufahamu huku.
Muislam yeyote mtiifu lazima avae hivyo na nilazima afuge ndevu kama unavyomuona nyau hapo juu!
Si ndo nyinyi mnashauri wanawake wa kiislam wavae kininja je, hiyo siyo culture ya waarab? Na tangu lini mmeanza kupinga utamaduni wa walio waletea dini?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom