Huyu mwanaume simwelewi kabisa

Huyu mwanaume simwelewi kabisa

1) mwezi 1
2)kuna sehem tulienda nilikua ninashida ilitakiwa nilipe elf 10 akatoa yeye...baada ya hapo tukaenda lunch akalipa yeye....siku ya pili niliharibikiwa kitu akakinunua kwa elf 10 akakuleta basi.
3)hua anaongea tu kufikia mwaka kesho tuwe pamoja
4)yes hua ananiambia like nipo kazin,,nimetoka,,nipo napika
Majibu haya yanaonyesha wewe una matatizo. Mwezi mmoja ni kidogo na kama amekula kwako ni milo 60 tu. Huyu ni dume la kuoa muombe sometimes hela ya gesi au mboga kiujanja atatoa. Yupo serious na ndoa huyo
 
Ebhu jitahid kuwa mvumilivu huenda kukawa na tija mbeleni..
Ubaya wa sisi wanaume hamna anaeweza kututabiri kwa hyo huenda ukahisi ukimkimbia utakua umesolve lakn kumbe ukawa umemkimbia wa maisha,yawezekana anafanya hvyo kujiridhisha kama utafaa kweli kuwa pamoja nae nkimaanisha swala la uvumilivu endapo kama atakua arosto...kazi hatudumu nazo dada ebhu vumilia mpaka hiyo desemba af ukiona hali tete njoo tena

rap beast
 
Wewee inaonekana unampikia vya merry brown....si anajua kula tuu kupakua hawezi tafuta mchunga wako mtoto wa kike upike kama unampenda sana muweke na dona lako saaaafi na lupapa wa kulumangia then mkaribishe kama siku zote akikipenda chakula na akila bila kuhoji leo vipi,..shosti olewa nae tuu maana ni zaidi ya "husband material" huyo.
 
Jamani naombeni ushauri wenu ndugu zangu nilikua na rafiki wa kiume close friend yaani tulikua marafiki hasa kiasi kwamba haiwezi pita Masaa 2 hatuwasiliani usiku tunaongea mpaka SAA 5 usiku.

Kuna siku alienda kazini akachelewa kutoka akanipigia best ndio nafika alafu gesi imeisha kwakua ni rafiki sikuona ajabu nikamwambia njoo ule huku akaja kula Sijui kilitokea nini tukajikuta tupo katika mahusiano ya kimapenzi kweli mi nilikua nampenda sana before nadhani hata yeye.

Sasa kilichofanya niombe ushauri ni tabia ya jamaa kifupi tumepanga kufikia December tuwe tumesha tambulishana kwa wazazi lengo tuje tuishi pamoja ambacho simuelewi jamaa anaweza piga simu pika nakuja kula kweli najipinda napika anakula anaondoka au anaweza pata mgeni akaniambia piga ninamgeni tunakuja kula nawapikia jamaa hanunui hata mboga wala tu kujiongeza angalau alete hata nyanya tu hapana

Yeye ana kazi nzuri analipwa karibia 1million per month mimi mbangaizaji tu lakini hata huruma hana nashindwa nimuelewe juzi aliniambia njoo uninunulie lunch nikamwambia sina hela basi.

Jana kaja nimekuja kula ikabidi niandae chakula akala akaondoka jamani nashindwa kumuelewa ni mtu wa aina gani mi sio muongeaji sana nashindwa kumuambia nataka niachane nae je naanzaje? maana ukweli nampenda Jamaa ana 36 mimi nina 30.
Naombeni ushauri wenu
Vumilia banda lijae
 
Mwambie ukweli hata kiutani halafu uone itakuaje! Kupokea milioni sio na kuwa na 36 sio shida kabisa, shida ni kuwa unadate na mvulana ambae hajui majukumu yake wala hajui kujistukia!
 
pole shosti kakufanya ma ntilie huyo, kama si muongeaji tuma hata meseji mkimbize hakuna mume hapo na hata akikuoa utaendelea kuhudumia familia mpaka utoke kibyongo
 
Majibu haya yanaonyesha wewe una matatizo. Mwezi mmoja ni kidogo na kama amekula kwako ni milo 60 tu. Huyu ni dume la kuoa muombe sometimes hela ya gesi au mboga kiujanja atatoa. Yupo serious na ndoa huyo
Hujawahi kupenda mwanamke wewe..

Hutamani hata atumie senti yake. Hichi anachofanya huyu kijana sio uoaji wala nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani naombeni ushauri wenu ndugu zangu nilikua na rafiki wa kiume close friend yaani tulikua marafiki hasa kiasi kwamba haiwezi pita Masaa 2 hatuwasiliani usiku tunaongea mpaka SAA 5 usiku.

Kuna siku alienda kazini akachelewa kutoka akanipigia best ndio nafika alafu gesi imeisha kwakua ni rafiki sikuona ajabu nikamwambia njoo ule huku akaja kula Sijui kilitokea nini tukajikuta tupo katika mahusiano ya kimapenzi kweli mi nilikua nampenda sana before nadhani hata yeye.

Sasa kilichofanya niombe ushauri ni tabia ya jamaa kifupi tumepanga kufikia December tuwe tumesha tambulishana kwa wazazi lengo tuje tuishi pamoja ambacho simuelewi jamaa anaweza piga simu pika nakuja kula kweli najipinda napika anakula anaondoka au anaweza pata mgeni akaniambia piga ninamgeni tunakuja kula nawapikia jamaa hanunui hata mboga wala tu kujiongeza angalau alete hata nyanya tu hapana

Yeye ana kazi nzuri analipwa karibia 1million per month mimi mbangaizaji tu lakini hata huruma hana nashindwa nimuelewe juzi aliniambia njoo uninunulie lunch nikamwambia sina hela basi.

Jana kaja nimekuja kula ikabidi niandae chakula akala akaondoka jamani nashindwa kumuelewa ni mtu wa aina gani mi sio muongeaji sana nashindwa kumuambia nataka niachane nae je naanzaje? maana ukweli nampenda Jamaa ana 36 mimi nina 30.
Naombeni ushauri wenu

tatizo ni wewe,kwanini usimwambie kinachokuumiza moyoni ili ajirekebishe?kuja kusema huku hakutakusaidia chochote.mwambie kinachokukwaza ili ajirekebishe
 
mmmmh acha kumdanganya huyu mrembo kuliko aingie kwenye ndoa huyu bora asiolewe me siwezi
Kwakweli hata mimi nilitaka kumwambia hivyo Huyu anayemshauri mwenzie hivyo. Kwanza hana uhakika wa kumuoa hiyo kutambulishana yawezekana hata asiende kwani si ni gea tu saa ingine wanaume wanatumia. Yaani aanze kuvumilia kwenye mahusiano eti kwenye ndoa atajirekebisha. Huyu hajaona wanaume walio kwenye ndoa Lakin kila kitu anafanya mwanamke yeye hata hajali, shituka mwaya dada yangu acha kumhudumia anza kutafta plan B hata kama hutomwambia ila Anza kujiengua mana inaonekana ww ndio unapenda zaidi bora uumie saa hv ila usonge mbele unaweza jifanya wife material kwa kuvumilia kumbe mwenzio yupo na mwingine wanaplan zao siku ya siku akishajipanga anasepa unaachwa hapo Hakuna utakalokuwa umefanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanya hivi siku moja... Mpigie mwambie,,, baby ukija home naomba uje na mboga,, pia mchele umeisha na viuongo vya mboga nimebakiwa na chumvi tu...then sikilizia atakujibuje na atarespond vipi. Ukiona haeleweki akili kumkichwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom