Huyu mwanaume simwelewi kabisa

Huyu mwanaume simwelewi kabisa

Nimesoma Majibu yako!

Ushauri wangu:

Kwanza kabisa huo muda ni mdogo sana kuweza kuamua na kufanya wanavyokushauri wengine.
Hata hivyo ni muda unaotisha kupiga hatua moja mbele angalau kwa miezi miwili.. Kuna changamoto kubwa sana kwenye kupata MKE au MUME wa kweli na halisi ktk maisha ya sasa.Kwahiyo inawezekana yeye anakutega kama nyie mnavyotutega nenda rudi mpaka miezi sita hujatoa papuchi.

Mambo ya kufanya ni pamoja na:
1.Usimwambie kabisa kuhusu chakula.
Mwambie jambo lolote kubwa na la kifamilia mf. Baba/mama/dada au yeyeto wa karibu yak kwamba anaumwa na unahitaji angalau 50elf ili utume huko.
2.Jaribu kumpa idea zako za mipango ya maendeleo mf. Nyumba au mtaa unapenda mjenge nyumba ynu, biashara gani mnaweza fanya, shamba n.k
Kwa sababu kwa umri wenu hivyo ndivyo vitu mnavyotakiwa ku-focus kwa hiyo kama yuko serious utaona reaction yake.
NB:Haya yote usiyafanye kwa wkt mmoja jipe na umpe nafasi ya kuendelea kusomana..
4.Uendelee kumpa papuchi kwani hakuna utakachopoteza ukizingatia keshakutomba tayari. Tena ******* hasa kwani kwa umri huo itakua ushatombwa sana na hutokua na cha kupoteza.. I mean kwamba ukizila kwa maneno unayoambiwa ww ndo utakua umepoteza. Sasa bora upoteze wkt umeshatimiza wajibu wako vya kutosha.
5.Acha kuzungumzia sana mambo ya hanging out na fashion na vitu vya aina hiyo labda aanzishe yy na usimsapot sana. Ww jikite kwenye mipango ya maendeleo.
6.Mfatilie kwa karibu kuona kama ana mahusiano mengine makubwa zaidi yako... Kama anayo ya kawaida usijinyonolote sana isipokuwa ww inyesha umuhimu wako zaidi. Yy atachuja mwenyewe.


Mwisho: Kua mke na kua mume ni kamari kama zilivyo kamari zingine.. Usiogope kupoteza.. Ukiona hayo yote hupati support ujue hapo ni chenga.Jipange na uanze upya.


Sent using Jamii Forums mobile app
Mh!
 
Nimesoma Majibu yako!

Ushauri wangu:

Kwanza kabisa huo muda ni mdogo sana kuweza kuamua na kufanya wanavyokushauri wengine.
Hata hivyo ni muda unaotisha kupiga hatua moja mbele angalau kwa miezi miwili.. Kuna changamoto kubwa sana kwenye kupata MKE au MUME wa kweli na halisi ktk maisha ya sasa.Kwahiyo inawezekana yeye anakutega kama nyie mnavyotutega nenda rudi mpaka miezi sita hujatoa papuchi.

Mambo ya kufanya ni pamoja na:
1.Usimwambie kabisa kuhusu chakula.
Mwambie jambo lolote kubwa na la kifamilia mf. Baba/mama/dada au yeyeto wa karibu yak kwamba anaumwa na unahitaji angalau 50elf ili utume huko.
2.Jaribu kumpa idea zako za mipango ya maendeleo mf. Nyumba au mtaa unapenda mjenge nyumba ynu, biashara gani mnaweza fanya, shamba n.k
Kwa sababu kwa umri wenu hivyo ndivyo vitu mnavyotakiwa ku-focus kwa hiyo kama yuko serious utaona reaction yake.
NB:Haya yote usiyafanye kwa wkt mmoja jipe na umpe nafasi ya kuendelea kusomana..
4.Uendelee kumpa papuchi kwani hakuna utakachopoteza ukizingatia keshakutomba tayari. Tena ******* hasa kwani kwa umri huo itakua ushatombwa sana na hutokua na cha kupoteza.. I mean kwamba ukizila kwa maneno unayoambiwa ww ndo utakua umepoteza. Sasa bora upoteze wkt umeshatimiza wajibu wako vya kutosha.
5.Acha kuzungumzia sana mambo ya hanging out na fashion na vitu vya aina hiyo labda aanzishe yy na usimsapot sana. Ww jikite kwenye mipango ya maendeleo.
6.Mfatilie kwa karibu kuona kama ana mahusiano mengine makubwa zaidi yako... Kama anayo ya kawaida usijinyonolote sana isipokuwa ww inyesha umuhimu wako zaidi. Yy atachuja mwenyewe.


Mwisho: Kua mke na kua mume ni kamari kama zilivyo kamari zingine.. Usiogope kupoteza.. Ukiona hayo yote hupati support ujue hapo ni chenga.Jipange na uanze upya.


Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri mujarab mkuu, naamini atauzingatia bt pia tumia zaidi tafsida kupunguza ukali wa maneno yasiyo na staha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu ni hiyo tu au kuna nyingine?.kama ni hiyo tu bado nimapema sana kumsema jamaa maana huwez jua kama nayeye labda anakufanyia makusudi kuna kitu anataka pima kwako.kua mke wa mtu wakat mwingine kunakupita kwenye mitihani mingi kwaiyo unachotakiwa kufanya ni wewe kua wazi kwake kwakumshirikisha hiyo bajeti ya hapo nyumbani then uone respond yake.Hutakiwi kumuogopa ila kama unaona ni ngumu kumwambia direct tumia ata meseji au namna ya utani.najua ukifanya utafiti wako mara mbili tatu utajua amesimamia wapi maana usije ukadhani mwanaume anayekuhudumia kila kitu ndo anakupenda.Na kama kweli wewe unampenda ni jukum lako kumtengeneza awe vile unaona inafaa maana kumbuka kila mtu na malezi yake.
Wewe Dada fuata huu ushauri.
 
Jamani naombeni ushauri wenu ndugu zangu nilikua na rafiki wa kiume close friend yaani tulikua marafiki hasa kiasi kwamba haiwezi pita Masaa 2 hatuwasiliani usiku tunaongea mpaka SAA 5 usiku.

Kuna siku alienda kazini akachelewa kutoka akanipigia best ndio nafika alafu gesi imeisha kwakua ni rafiki sikuona ajabu nikamwambia njoo ule huku akaja kula Sijui kilitokea nini tukajikuta tupo katika mahusiano ya kimapenzi kweli mi nilikua nampenda sana before nadhani hata yeye.

Sasa kilichofanya niombe ushauri ni tabia ya jamaa kifupi tumepanga kufikia December tuwe tumesha tambulishana kwa wazazi lengo tuje tuishi pamoja ambacho simuelewi jamaa anaweza piga simu pika nakuja kula kweli najipinda napika anakula anaondoka au anaweza pata mgeni akaniambia piga ninamgeni tunakuja kula nawapikia jamaa hanunui hata mboga wala tu kujiongeza angalau alete hata nyanya tu hapana

Yeye ana kazi nzuri analipwa karibia 1million per month mimi mbangaizaji tu lakini hata huruma hana nashindwa nimuelewe juzi aliniambia njoo uninunulie lunch nikamwambia sina hela basi.

Jana kaja nimekuja kula ikabidi niandae chakula akala akaondoka jamani nashindwa kumuelewa ni mtu wa aina gani mi sio muongeaji sana nashindwa kumuambia nataka niachane nae je naanzaje? maana ukweli nampenda Jamaa ana 36 mimi nina 30.
Naombeni ushauri wenu
simple tu...kinyume cha Love ni Hate!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na umri wako unachangia ungekua under 30 usingepata tabu zote hizo
By the way pole sana mdada next time akikwambia andaa msosi tenga masahani tupu halafu mkaribishe akikuta empty set atajiongeza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
acha ujinga binti yani unalea lijianaume lipuuzi fala kabisa na wewe upo hakuna mpenzi hapo .. okey unalimwanaume lisilojali halafu nategemea mkatambulishane Yesu Ruwa hivi kwa nini usimkimbize huyo tegemezi.. hawezi kuja kuweza nunua hata chumvi .. khee khee halafu utakuja kusema ndoa chungu wewe unafuga mwenyewe hilo lijitu uje utegemee mabadiliko.. kwanza mwanaume wa kutumia pesa ya mwanamke si mwanaume
Mkuki kwa nguruwe ingekua opposite sijui ingekuaje.by the way me napita.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ana kupima tu kama una roho ya utoaji. Na wewe mpime kwa vigezo vyako kama anakupenda kweli. Kama asipomeet vigezo achana nae. Bora mwanaume ampende mwanamke Zaidi kuliko mwanamke kupenda mwanaume Zaidi. utateseka sana.
 
Huyo jamaa anaakili kama za kwangu za mwaka juzi,nilipataga kidemu flani ivi kilinipenda baraa alfu kilikuwa na kazi yake,kilinilea mwaka mzima kinanihudumia hadi mafuta ya gari na mavazi,yaani mshahara wangu nilikuwa situmii hata kidogo,alig'ang'ana nikamtambulishe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuminyana kisaikolojia kiAfrika.
Kwa akili zake anaku"asesi" kama waweza kuwa mke mzuri. Yaani sawa na kuzabuliwa kibao wakati ukiuzwa, usitikisike ili bwana wako apate soko zuri la kukuuza utumwani! Ushenzi na ujinga mtupu.
Pengine huyo mtu anadhani "umemfia" sana, kwamba akugeuzegeuze kama anavyokula sato bila kupata pingamizi hadi anaposhiba.
Wahenga si wajinga kusema 'siku njema huonekana asubuhi'.
Huyo ni mbinafsi sana katika tabia zake na hauwezi kumbadili, kwa kuwa darasa la kubadilishia tabia ya mtu laweza chukua miaka nendarudi, wakati kipindi cha maisha halisi ya binadamu ni mafupi kuliko unavyodhania wewe. Utulivu na furaha kwa tafsiri ndiyo maisha menyewe. Sekunde ikipita hairudi. Pole sana.
Kupimana tabia hakufanywi kwa njia ya maudhi na kero.
Kifupi mahari atakayolipa kwa ajili ya harusi yenu, kwa tabia hiyo, mwenziyo atahesabu kuwa amekununua na atakutumia kibinafsi na si kimapenzi.
Tunashauriwa katika migogoro ya mapenzi kutoa ushauri wa kujenga na kuunganisha na si kutenganisha.
Lakini kwa mada hii na kwakuwa haujafunga naye ndoa, nakushauri muepuke mapema kabla hamjafika mbali hadi kuzalishana watoto.
Una uhuru wa kutafuta mwanaume sahihi kwako, mwenye huruma na mwenye mapenzi ya kweli.
 
Ujue akikuoa atakua na kazi ya kuzungusha pmb tu, we ndo kila kitu, pole
Hivi mke wangu, hizi habari za kupimana kwenye mapenzi mnafundishaga darasa la ngapi kwani? Kwenye syllabus yangu zikupitiaga hayo makitu.

Kupimana? Eti anakupima? That is a weak ass man ambaye hawezi kukuchunguza, kuongea na wewe kupata majibu mpaka akupime...dah au ni topic mpya ya Chemistry!???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom