Kosa kubwa kwenye maisha!Kwa umri huo sikushauri kuachana naye... Jikaze tu uipate ndoa, at least kama hujatongozwa na wanaume angalau watatu zaidi ya three months, sikushauri kabisa kumuacha... Ukiingia ndani ya ndoa atakoma maana itabidi ayabebe hayo majukumu. Vumilia tu bado siku kidogo umalize la saba!
atajutana asifanye kosa la kutegesha mimba
Yaan kila nikirudia kusoma hii msg najikuta machozi yanatoka Sijui kwannHaa Haa...
1) papuchi bure
2) Msosi bure
3) lunch lunch hakosi
4) na hela anampa
5) anasave hela ya guest or hotel ( coz papuchi anampea kitandani kwake)
6) Anawapikia hadi marafiki zake!
Huku kutumika si kwa nchi hii...
Sent using Jamii Forums mobile app
Usilie bhana,we fanya bhana ilimradi una furaha moyoni,mbona hata sisi wanaume tunawatoa kila kitu lakini hatulalamiki?Ukikwama unaweza mwambia akupe kiasi cha pesa utaona atakavyolifanyia kazi.Unaweza ukampata anayekupa kila kitu lakini ukawa hauna furaha naye kwakuwa haumpendi kwa dhati sasa hapo unakuwa unafanya nini.Kuwa makini na maneno ya watu yanaweza kukutoa kwenye msitari.Palipo na upendo yote yawezekana.Mungu akupe wepesi katika hali cha msingi usimuache kama unampenda.Yaan kila nikirudia kusoma hii msg najikuta machozi yanatoka Sijui kwann
Jamaa kajipatia kahousegirl ka gharama nafuu na sehemu ya mgegedo wa bure. Subiri kadi yake ya harusi. Halafu huko fb kila demu ana bwana, kumbe mabwana wenyewe ndo sieJamani naombeni ushauri wenu ndugu zangu nilikua na rafiki wa kiume close friend yaani tulikua marafiki hasa kiasi kwamba haiwezi pita Masaa 2 hatuwasiliani usiku tunaongea mpaka SAA 5 usiku.
Kuna siku alienda kazini akachelewa kutoka akanipigia best ndio nafika alafu gesi imeisha kwakua ni rafiki sikuona ajabu nikamwambia njoo ule huku akaja kula Sijui kilitokea nini tukajikuta tupo katika mahusiano ya kimapenzi kweli mi nilikua nampenda sana before nadhani hata yeye.
Sasa kilichofanya niombe ushauri ni tabia ya jamaa kifupi tumepanga kufikia December tuwe tumesha tambulishana kwa wazazi lengo tuje tuishi pamoja ambacho simuelewi jamaa anaweza piga simu pika nakuja kula kweli najipinda napika anakula anaondoka au anaweza pata mgeni akaniambia piga ninamgeni tunakuja kula nawapikia jamaa hanunui hata mboga wala tu kujiongeza angalau alete hata nyanya tu hapana
Yeye ana kazi nzuri analipwa karibia 1million per month mimi mbangaizaji tu lakini hata huruma hana nashindwa nimuelewe juzi aliniambia njoo uninunulie lunch nikamwambia sina hela basi.
Jana kaja nimekuja kula ikabidi niandae chakula akala akaondoka jamani nashindwa kumuelewa ni mtu wa aina gani mi sio muongeaji sana nashindwa kumuambia nataka niachane nae je naanzaje? maana ukweli nampenda Jamaa ana 36 mimi nina 30.
Naombeni ushauri wenu
Pole shost.....nimekufafanulia ili uelewe zigo ulilojitwisha.Yaan kila nikirudia kusoma hii msg najikuta machozi yanatoka Sijui kwann
Watu kama hao inatakiwa siku moja akikuambia upike, unamwandalia mishikaki ya chura na majimbi na juice ya limao.Jamani naombeni ushauri wenu ndugu zangu nilikua na rafiki wa kiume close friend yaani tulikua marafiki hasa kiasi kwamba haiwezi pita Masaa 2 hatuwasiliani usiku tunaongea mpaka SAA 5 usiku.
Kuna siku alienda kazini akachelewa kutoka akanipigia best ndio nafika alafu gesi imeisha kwakua ni rafiki sikuona ajabu nikamwambia njoo ule huku akaja kula Sijui kilitokea nini tukajikuta tupo katika mahusiano ya kimapenzi kweli mi nilikua nampenda sana before nadhani hata yeye.
Sasa kilichofanya niombe ushauri ni tabia ya jamaa kifupi tumepanga kufikia December tuwe tumesha tambulishana kwa wazazi lengo tuje tuishi pamoja ambacho simuelewi jamaa anaweza piga simu pika nakuja kula kweli najipinda napika anakula anaondoka au anaweza pata mgeni akaniambia piga ninamgeni tunakuja kula nawapikia jamaa hanunui hata mboga wala tu kujiongeza angalau alete hata nyanya tu hapana
Yeye ana kazi nzuri analipwa karibia 1million per month mimi mbangaizaji tu lakini hata huruma hana nashindwa nimuelewe juzi aliniambia njoo uninunulie lunch nikamwambia sina hela basi.
Jana kaja nimekuja kula ikabidi niandae chakula akala akaondoka jamani nashindwa kumuelewa ni mtu wa aina gani mi sio muongeaji sana nashindwa kumuambia nataka niachane nae je naanzaje? maana ukweli nampenda Jamaa ana 36 mimi nina 30.
Naombeni ushauri wenu