miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,973
acha ujinga binti yani unalea lijianaume lipuuzi fala kabisa na wewe upo hakuna mpenzi hapo .. okey unalimwanaume lisilojali halafu nategemea mkatambulishane Yesu Ruwa hivi kwa nini usimkimbize huyo tegemezi.. hawezi kuja kuweza nunua hata chumvi .. khee khee halafu utakuja kusema ndoa chungu wewe unafuga mwenyewe hilo lijitu uje utegemee mabadiliko.. kwanza mwanaume wa kutumia pesa ya mwanamke si mwanaume