Meja mstaafu
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 533
- 1,122
Kisa msosi tu, ndio uache mwanaume kwa sababu hiyo tu au una sababu nyingine??? Chakula chenyewe unakula afu baadae unapeleka chooni, Dada kuwa siriasi. kuna wenzako wanatafuta hata hao wa kuwalisha hawawapati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app