Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 804
Afro hapo umemaliza kila kitu mi sina cha kuongezea! th! teh! teh!kukoroma ..... mnyooshe shingo ataacha kukoroma
kujamba ni afya aendelee tu .... akiacha ndo kuna tatizo..
Afro hapo umemaliza kila kitu mi sina cha kuongezea! th! teh! teh!kukoroma ..... mnyooshe shingo ataacha kukoroma
kujamba ni afya aendelee tu .... akiacha ndo kuna tatizo..
<br />
<br />
vunja jungu huwa mnafanya kingunguo?
<br /><i>kukoroma ..... mnyooshe shingo ataacha kukoroma<br />
kujamba ni afya aendelee tu .... akiacha ndo kuna tatizo..</i>
<br />hivi ff kujamba/kujambiana (ashakum si matusi), ni dhambi?<br />
natumaini umekua na eid njema yenye barakat
hivi ff kujamba/kujambiana (ashakum si matusi), ni dhambi?
natumaini umekua na eid njema yenye barakat
<br />kama hauwezi kuvumilia muache haaaaaaaaaaaaaaaa,kama ana-fart(break wind) ovyo ovyo basi ujue watu walishawahi kumpumulia ndo maana sphinters zimekuwa lelelege....Pole we endelea tu kuchezea mti wake mzuri lol
<br />nenda naye kwa babu loliondo... hehehe! seriously... inabidi umzoee!
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mkuu, jina lako ukiondoa herufi O N G na L hizo zilizobaki ukiziunganisha unapata neno PENIS. Ni observation tu mkuu!
Hakijamba nawe msubili hakiwa yupo sawa nawe mjambie uone hatakwambiaje?
Nataka kujua kama ulikumbuka matumizi ya kondomuTangu juzi niko kisiwani Mafia kwa mapumziko ya ldd nikiwa na chombo kipya. He is tall, black, mascular without a tammy belly.
Pesa anayo, mwerevu na mkarimu. Kitandani ni zaidi ya maelezo, muziki wake mzito ati!!!!! Tatizo lake baada ya kumaliza mechi, hulala fofofo, hukoroma kwa sauti ya juu sana kiasi kwamba nashindwa kulala, usiku uliopita amekoroma hadi watu wa first aid wakaja wakidhani tunatatizo. Pia huwa anajamba kila wakati tena kwa sauti na bila kujalisha tuko na nani, marafiki zake ama marafiki zangu, hili naona liko nje ya control yake. Je nimsaidieje shemeji yenu na kumwacha sitaki hata kidogo?