Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 755
nazjaz umeshaachana na husband?maana topic yako ya nyuma,ulisema una mume anakupa kila kitu.leo una chombo kipya.mmmh
Sifa alizozitaja kuhusu huyo mwanaume zinatosheleza kujibu swali lako. Kwa kifupi Nazjaz mwanaume akiwa na muonekano mzuri, awe na pesa na awe anapenda kuzitumia kwenye starehe kama huko visiwani waliko hivi sasa, basi atampata tu! Na wanawake wa aina hiyo hapa mjini wako wengi sana! Bila kujali kama wameolewa au lah, wao pesa na starehe toka kwa mwanaume ni vigumu kuviruka!