<br />Tangu juzi niko kisiwani Mafia kwa mapumziko ya ldd nikiwa na chombo kipya. He is tall, black, mascular without a tammy belly.<br />
Pesa anayo, mwerevu na mkarimu. Kitandani ni zaidi ya maelezo, muziki wake mzito ati!!!!! Tatizo lake baada ya kumaliza mechi, hulala fofofo, hukoroma kwa sauti ya juu sana kiasi kwamba nashindwa kulala, usiku uliopita amekoroma hadi watu wa first aid wakaja wakidhani tunatatizo. Pia huwa anajamba kila wakati tena kwa sauti na bila kujalisha tuko na nani, marafiki zake ama marafiki zangu, hili naona liko nje ya control yake. Je nimsaidieje shemeji yenu na kumwacha sitaki hata kidogo?
<br /> <br / nahsi anakaasili ka uchangu . . Ila kwa kumshauri 2 huu ni msimu wa mavuno MAGUNZI yamejaa tele atumie km KIZIBIO cha KIJAMBIO itamsaidia snnazjaz umeshaachana na husband?maana topic yako ya nyuma,ulisema una mume anakupa kila kitu.leo una chombo kipya.mmmh
<br />Sikutegemea ningecheka hivi leo, sredi yenyewe ukichanganya na wachangiaji nimecheka mpaka nami nimejamba bila kutarajia mbele za watu lol, sujui wamenisikia? jf saa nyingine bwana
<br />
<br />
Laana ya Mwenyezi Mungu ikushukie kwa kuihusisha sikuku ya Eid na ufuska wako.
Umekwenda kwenye ufuska na laana zako na hazihusiani na Eid kabisa. Tafadhali usikejeli imani za watu. Waislaam hatusherehekei Eid kwa ufuska.
Igunga kazi tayari imekwisha!Rejao twende Igunga bana
<br />Igunga kazi tayari imekwisha!<br />
Tunashinda kwa kishindo!<br />
Tumemsimamisha Dr wa ukweli kule na siyo Dr wa Cannon law!
Tangu juzi niko kisiwani Mafia kwa mapumziko ya ldd nikiwa na chombo kipya. He is tall, black, mascular without a tammy belly.
Pesa anayo, mwerevu na mkarimu. Kitandani ni zaidi ya maelezo, muziki wake mzito ati!!!!! Tatizo lake baada ya kumaliza mechi, hulala fofofo, hukoroma kwa sauti ya juu sana kiasi kwamba nashindwa kulala, usiku uliopita amekoroma hadi watu wa first aid wakaja wakidhani tunatatizo. Pia huwa anajamba kila wakati tena kwa sauti na bila kujalisha tuko na nani, marafiki zake ama marafiki zangu, hili naona liko nje ya control yake. Je nimsaidieje shemeji yenu na kumwacha sitaki hata kidogo?
<br />Sikutegemea ningecheka hivi leo, sredi yenyewe ukichanganya na wachangiaji nimecheka mpaka nami nimejamba bila kutarajia mbele za watu lol, sujui wamenisikia? jf saa nyingine bwana
Tangu juzi niko kisiwani Mafia kwa mapumziko ya ldd nikiwa na chombo kipya. He is tall, black, mascular without a tammy belly.
Pesa anayo, mwerevu na mkarimu. Kitandani ni zaidi ya maelezo, muziki wake mzito ati!!!!! Tatizo lake baada ya kumaliza mechi, hulala fofofo, hukoroma kwa sauti ya juu sana kiasi kwamba nashindwa kulala, usiku uliopita amekoroma hadi watu wa first aid wakaja wakidhani tunatatizo. Pia huwa anajamba kila wakati tena kwa sauti na bila kujalisha tuko na nani, marafiki zake ama marafiki zangu, hili naona liko nje ya control yake. Je nimsaidieje shemeji yenu na kumwacha sitaki hata kidogo?