Huyu mwanaume ni balaa......

nazjaz umeshaachana na husband?maana topic yako ya nyuma,ulisema una mume anakupa kila kitu.leo una chombo kipya.mmmh
 
Tangu juzi niko kisiwani Mafia kwa mapumziko ya ldd nikiwa na chombo kipya. He is tall, black, mascular without a tammy belly.<br />
Pesa anayo, mwerevu na mkarimu. Kitandani ni zaidi ya maelezo, muziki wake mzito ati!!!!! Tatizo lake baada ya kumaliza mechi, hulala fofofo, hukoroma kwa sauti ya juu sana kiasi kwamba nashindwa kulala, usiku uliopita amekoroma hadi watu wa first aid wakaja wakidhani tunatatizo. Pia huwa anajamba kila wakati tena kwa sauti na bila kujalisha tuko na nani, marafiki zake ama marafiki zangu, hili naona liko nje ya control yake. Je nimsaidieje shemeji yenu na kumwacha sitaki hata kidogo?
<br />
<br />
Laana ya Mwenyezi Mungu ikushukie kwa kuihusisha sikuku ya Eid na ufuska wako.

Umekwenda kwenye ufuska na laana zako na hazihusiani na Eid kabisa. Tafadhali usikejeli imani za watu. Waislaam hatusherehekei Eid kwa ufuska.
 
Sikutegemea ningecheka hivi leo, sredi yenyewe ukichanganya na wachangiaji nimecheka mpaka nami nimejamba bila kutarajia mbele za watu lol, sujui wamenisikia? jf saa nyingine bwana
 
nazjaz umeshaachana na husband?maana topic yako ya nyuma,ulisema una mume anakupa kila kitu.leo una chombo kipya.mmmh
&lt;br /&gt; &lt;br / nahsi anakaasili ka uchangu . . Ila kwa kumshauri 2 huu ni msimu wa mavuno MAGUNZI yamejaa tele atumie km KIZIBIO cha KIJAMBIO itamsaidia sn
 
Akianza kukoroma uwe unampiga vipepsi ataacha kukoroma.kama ni mpata mkojo wa firauni (pombe) mwambie aache,kwani pombe huchangia sana mtu kukoroma.huko kujamba ni afya ,ila kama ana tatizo la kujaa gesi tumboni hilo ni tatizo amwone daktari otherwise mapenzi ni kuvumiliana. hata wewe una weekness zako sema hujazijua,ukimwuliza atakuambia zakwako.
 
kwa vile umemzimikia basi vumilia tu akikoroma na wewe koroma na akijamba msaidie kujamba.
 
hahahahah Puuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! Kijambio hicho hadi majirani wanakuja na Ambulance. hahahahah nimecheka sana
 
<br />
<br />
Laana ya Mwenyezi Mungu ikushukie kwa kuihusisha sikuku ya Eid na ufuska wako.

Umekwenda kwenye ufuska na laana zako na hazihusiani na Eid kabisa. Tafadhali usikejeli imani za watu. Waislaam hatusherehekei Eid kwa ufuska.


Hii ni Tanzania kila mtu ana uhuru wa kuamua mambo yake ili hali hayawadhuru watu wengine. Starehe kila mtu ana uhuru pia wa kuamua ni muda, siku gani na wapi akafanye so wengine wanafanya pasaka, Idd, nyerere day, sabasaba, christmass na hata wengine wakiwa kwaresma na hata kipindi cha mfungo pia ili mradi tu haingilii haki ya starehe za watu wengine. So yuko sawa kabisa
 
Akicha kujamba na kukoroma uzuri wote uliomsifia utaisha ndio maana akakupata wewe unajua kupokea VIJAMBO NA MIKOROMEO,Hongera !
 
Tangu juzi niko kisiwani Mafia kwa mapumziko ya ldd nikiwa na chombo kipya. He is tall, black, mascular without a tammy belly.
Pesa anayo, mwerevu na mkarimu. Kitandani ni zaidi ya maelezo, muziki wake mzito ati!!!!! Tatizo lake baada ya kumaliza mechi, hulala fofofo, hukoroma kwa sauti ya juu sana kiasi kwamba nashindwa kulala, usiku uliopita amekoroma hadi watu wa first aid wakaja wakidhani tunatatizo. Pia huwa anajamba kila wakati tena kwa sauti na bila kujalisha tuko na nani, marafiki zake ama marafiki zangu, hili naona liko nje ya control yake. Je nimsaidieje shemeji yenu na kumwacha sitaki hata kidogo?


Mdogo wangu Naz,

Haya mambo hukutakiwa kuyaweka jukwaani. Labda kama ni story ya kuchangamsha baraza. Suala la kujamba mbele za watu unaweza kutumia hekima na akili alizopewa mwanamke kumfanya huyo jamaa aliache hasa hasa lile la kumwaga razi mbele za watu. Hilo la kukoroma mnaweza kushirikiana kutafuta ushauri wa wataalamu.

Nimesikitika sana kuona haya uliyoandika hapa. Hivi unadhani jamaa atajisikiaje endapo akiyaona haya? Au kama ungekuta madhaifu yako yamemwagwa kwenye jukwaa namna hii ungejisikiaje?

Naamini kila mtu ana mapungufu yake na ni jukumu la mpenzi wake kumtunzia siri!!
 
Kujamba na kukoroma ni tatizo dogo. Kuna wanaume vikojozi lakini mambo mengine wako safi. Nawe vumilia, utazoea tu
 
Tangu juzi niko kisiwani Mafia kwa mapumziko ya ldd nikiwa na chombo kipya. He is tall, black, mascular without a tammy belly.
Pesa anayo, mwerevu na mkarimu. Kitandani ni zaidi ya maelezo, muziki wake mzito ati!!!!! Tatizo lake baada ya kumaliza mechi, hulala fofofo, hukoroma kwa sauti ya juu sana kiasi kwamba nashindwa kulala, usiku uliopita amekoroma hadi watu wa first aid wakaja wakidhani tunatatizo. Pia huwa anajamba kila wakati tena kwa sauti na bila kujalisha tuko na nani, marafiki zake ama marafiki zangu, hili naona liko nje ya control yake. Je nimsaidieje shemeji yenu na kumwacha sitaki hata kidogo?

Dawa ya kuacha kukoroma ni rahisi sana endapo atazingatia. Ni hivi, kukoroma kunatokana na kulegea kwa koromoe. Kwa hiyo ili koromeo lirudi katika hali yake ya kawaida, anatakiwa kufanya mazoezi ya kutoa ulimi wote nje ''frequently'' mara 20 kila siku asubuhi na kijini. Zoezi hili anatakiwa kulifanya kwa wiki mbili mfululizo!

Kwa kufanya hizo, misuli ya kwenye koromeo itakaza na ataacha kukoroma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom