acheni utoto nyie binadamu.....................
haya mambo ya kujadili issue za ujambaji yanatokea wapi tena....
WAKATI MWINGINE UMRI NAO UTUSUTE KIDOGO KUJADILI MAMBO YASO NA TIJA...........................
Tangu juzi niko kisiwani Mafia kwa mapumziko ya ldd nikiwa na chombo kipya. He is tall, black, mascular without a tammy belly.
Pesa anayo, mwerevu na mkarimu. Kitandani ni zaidi ya maelezo, muziki wake mzito ati!!!!! Tatizo lake baada ya kumaliza mechi, hulala fofofo, hukoroma kwa sauti ya juu sana kiasi kwamba nashindwa kulala, usiku uliopita amekoroma hadi watu wa first aid wakaja wakidhani tunatatizo. Pia huwa anajamba kila wakati tena kwa sauti na bila kujalisha tuko na nani, marafiki zake ama marafiki zangu, hili naona liko nje ya control yake. Je nimsaidieje shemeji yenu na kumwacha sitaki hata kidogo?
sio ujambaji ni ujamazi!!!!!!!!!!acheni utoto nyie binadamu.....................haya mambo ya kujadili issue za ujambaji yanatokea wapi tena....wakati mwingine umri nao utusute kidogo kujadili mambo yaso na tija...........................
Tangu juzi niko kisiwani Mafia kwa mapumziko ya ldd nikiwa na chombo kipya. He is tall, black, mascular without a tammy belly.
Pesa anayo, mwerevu na mkarimu. Kitandani ni zaidi ya maelezo, muziki wake mzito ati!!!!! Tatizo lake baada ya kumaliza mechi, hulala fofofo, hukoroma kwa sauti ya juu sana kiasi kwamba nashindwa kulala, usiku uliopita amekoroma hadi watu wa first aid wakaja wakidhani tunatatizo. Pia huwa anajamba kila wakati tena kwa sauti na bila kujalisha tuko na nani, marafiki zake ama marafiki zangu, hili naona liko nje ya control yake. Je nimsaidieje shemeji yenu na kumwacha sitaki hata kidogo?
Nati zimelegea,kujamba mtu mzima?Akiacha kukoroma na kujamba uwezo wa mechi vingine utaisha, vumilia tu. Kila binadam ana udhaifu wake
Tangu juzi niko kisiwani Mafia kwa mapumziko ya ldd nikiwa na chombo kipya. He is tall, black, mascular without a tammy belly.
Pesa anayo, mwerevu na mkarimu. Kitandani ni zaidi ya maelezo, muziki wake mzito ati!!!!! Tatizo lake baada ya kumaliza mechi, hulala fofofo, hukoroma kwa sauti ya juu sana kiasi kwamba nashindwa kulala, usiku uliopita amekoroma hadi watu wa first aid wakaja wakidhani tunatatizo. Pia huwa anajamba kila wakati tena kwa sauti na bila kujalisha tuko na nani, marafiki zake ama marafiki zangu, hili naona liko nje ya control yake. Je nimsaidieje shemeji yenu na kumwacha sitaki hata kidogo?
hahhahah! Spika umenichekesha saaana!! Eti uzungu kobe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!topic haina kizungu kobe,unaonaje ukiacha ulimbukeni na uchangie kwa lugha mama?
hivi huyu ni mzungu.............................................ninakumbuka huko nyuma ulituuma sikio ulivyokuwa ukimsaka mzungu kwa udi na uvumba................kujambajamba.............................hivyo ni vyakula tu..................chunguza ala nini na vibadilishwe na kuachana na vinavyozalisha gesi nyingi kama maharagwe, karanga maziwa na proteni kupita kipimo...................apunguze kuapakia na anywe maji mengi.............kama mashine yake umeridhia huo ni mwanzo swafi mwanangu...............mambo ya pesa ni kiini macho tu...........awe nazo au la yote sawa tu ila kibali ni roho yake umeiafiki............................kukoroma nako kunatokana na jinsi anavyolala.............kama anala...................ipo aina ya chupa aweze kulala ikiwa imefurika mdomni na kamwe hata koroma........................................lakini weye ulipotelea wapi iko siku mingi sioni makala yako humu jukwaani.................