Huyu mwanaume ni balaa......

Iyo ndo unaskia vodacom wanasema KAZI NIKWAKO....!! siku nyingine akijamba mwambie acha usenge, hato rudia tena, trust me!
<br />
<br />
unawafahamu wanaume wa Kikurya lakini?
 
acheni utoto nyie binadamu.....................
haya mambo ya kujadili issue za ujambaji yanatokea wapi tena....
WAKATI MWINGINE UMRI NAO UTUSUTE KIDOGO KUJADILI MAMBO YASO NA TIJA...........................


we bacha ;jambo ili lina tija tena kubwa
cz dada anataka kussetle lakin kujamba na kukoroma kunamtishia aman
minaona kuna tija.....au wewe ndo wale wale mkilala km mashne inasaga?
msaidien jaman....

afu kujamba jamba kwa mwanaume si poa....wasichana wenzako wanakucheka aahh bfrend wake uyu anajamba uyo...mwshow atasema ahh ni m.ssssssssseng...
 
hilo jamaa usikute mkasi halikati mpaka lishikwe nyuma,kwa nini linajamba hovyo!
 
Tangu juzi niko kisiwani Mafia kwa mapumziko ya ldd nikiwa na chombo kipya. He is tall, black, mascular without a tammy belly.
Pesa anayo, mwerevu na mkarimu. Kitandani ni zaidi ya maelezo, muziki wake mzito ati!!!!! Tatizo lake baada ya kumaliza mechi, hulala fofofo, hukoroma kwa sauti ya juu sana kiasi kwamba nashindwa kulala, usiku uliopita amekoroma hadi watu wa first aid wakaja wakidhani tunatatizo. Pia huwa anajamba kila wakati tena kwa sauti na bila kujalisha tuko na nani, marafiki zake ama marafiki zangu, hili naona liko nje ya control yake. Je nimsaidieje shemeji yenu na kumwacha sitaki hata kidogo?

hivi huyu ni mzungu.............................................ninakumbuka huko nyuma ulituuma sikio ulivyokuwa ukimsaka mzungu kwa udi na uvumba................kujambajamba.............................hivyo ni vyakula tu..................chunguza ala nini na vibadilishwe na kuachana na vinavyozalisha gesi nyingi kama maharagwe, karanga maziwa na proteni kupita kipimo...................apunguze kuapakia na anywe maji mengi.............kama mashine yake umeridhia huo ni mwanzo swafi mwanangu...............mambo ya pesa ni kiini macho tu...........awe nazo au la yote sawa tu ila kibali ni roho yake umeiafiki............................kukoroma nako kunatokana na jinsi anavyolala.............kama anala...................ipo aina ya chupa aweze kulala ikiwa imefurika mdomni na kamwe hata koroma........................................lakini weye ulipotelea wapi iko siku mingi sioni makala yako humu jukwaani.................
 
acheni utoto nyie binadamu.....................haya mambo ya kujadili issue za ujambaji yanatokea wapi tena....wakati mwingine umri nao utusute kidogo kujadili mambo yaso na tija...........................
sio ujambaji ni ujamazi!!!!!!!!!!
 
Tangu juzi niko kisiwani Mafia kwa mapumziko ya ldd nikiwa na chombo kipya. He is tall, black, mascular without a tammy belly.
Pesa anayo, mwerevu na mkarimu. Kitandani ni zaidi ya maelezo, muziki wake mzito ati!!!!! Tatizo lake baada ya kumaliza mechi, hulala fofofo, hukoroma kwa sauti ya juu sana kiasi kwamba nashindwa kulala, usiku uliopita amekoroma hadi watu wa first aid wakaja wakidhani tunatatizo. Pia huwa anajamba kila wakati tena kwa sauti na bila kujalisha tuko na nani, marafiki zake ama marafiki zangu, hili naona liko nje ya control yake. Je nimsaidieje shemeji yenu na kumwacha sitaki hata kidogo?

kubwa hapa ni kuwa umegundua matatizo haya huwakumba baada ya mechi..........ambayo awali ulitutahadhaharisha yakuwa ni murua.........................au kwa lugha nyingine...................mambo ni motomoto.............sasa jawabu lake ni kuacha mechi kabisa.............halafu kukoroma, kujambajamba hadharani...........................ingawaje kualala fofofo kama baada ya kususia mechi kutajitokeza........................itabidi ufuate mfano wa MJJ ambaye yeye alikuwa anatumia propofor tu kupata usingizi.........................ninyi itabidi propofor yenu awepo nesi wa kuwaangalia msije makapitilizia kwenda kuzimuni...............................na huku kwetu watasema siku zenu zilifika kwa sababu polisi wetu ni wavivu kufikiri na kuchunguza kilichowaua kabla ya siku zenu............
 
Aisee umeniacha hoi na hiyo avatar yako, back to topic Nazjaz angalia jamaa asije kuwa punga sasa misuli ishaachia anashindwa kujizuia wakati wa kujamba, kukoroma sio issue kivile
 
nazzjaz unachekesha kama sio kufurahisha, hicho chombo kimeshakuwa shemeji tayari? unao wangapi ww?? suala la mapenzi haliangii pesa nk hakuna mtu mwenye kupewa kila kitu kila mtu ana kasoro zake hata ww unazo ndio hizo za kuparamia kifaa kipya kila wakati chunga usije ukajikwaa.
Tangu juzi niko kisiwani Mafia kwa mapumziko ya ldd nikiwa na chombo kipya. He is tall, black, mascular without a tammy belly.
Pesa anayo, mwerevu na mkarimu. Kitandani ni zaidi ya maelezo, muziki wake mzito ati!!!!! Tatizo lake baada ya kumaliza mechi, hulala fofofo, hukoroma kwa sauti ya juu sana kiasi kwamba nashindwa kulala, usiku uliopita amekoroma hadi watu wa first aid wakaja wakidhani tunatatizo. Pia huwa anajamba kila wakati tena kwa sauti na bila kujalisha tuko na nani, marafiki zake ama marafiki zangu, hili naona liko nje ya control yake. Je nimsaidieje shemeji yenu na kumwacha sitaki hata kidogo?
 
ukiona anajamba mchape kibao
mkilala na akianza tu kukoroma uwe unamstuastua, na kila siku mchemshie maji ya moto anywe kupunguza mafuta.
 
ana tatizo la misuli kulegea, Mwambie awe anafanya mazoezi ya kuchuchumaa na kuinuka sphincta muscles zitakaza ataweza kucontrol vijampo! Pia aiswe anatumia vyoo vya kukaa kwani hufanya misuli ya ****** kulegea!
 
hivi huyu ni mzungu.............................................ninakumbuka huko nyuma ulituuma sikio ulivyokuwa ukimsaka mzungu kwa udi na uvumba................kujambajamba.............................hivyo ni vyakula tu..................chunguza ala nini na vibadilishwe na kuachana na vinavyozalisha gesi nyingi kama maharagwe, karanga maziwa na proteni kupita kipimo...................apunguze kuapakia na anywe maji mengi.............kama mashine yake umeridhia huo ni mwanzo swafi mwanangu...............mambo ya pesa ni kiini macho tu...........awe nazo au la yote sawa tu ila kibali ni roho yake umeiafiki............................kukoroma nako kunatokana na jinsi anavyolala.............kama anala...................ipo aina ya chupa aweze kulala ikiwa imefurika mdomni na kamwe hata koroma........................................lakini weye ulipotelea wapi iko siku mingi sioni makala yako humu jukwaani.................


chupa gan iyo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom