Huyu mwanamke nimjibuje?

Huyu mwanamke nimjibuje?

Wala usijibu,potezea,anajifanya kwamba anakuonea huruma,MTU muungwana,akitaka kukuacha anakuambia live,huyo bi Dada bado hajakomaa,wala usijibu,endelea na maisha,kama cash money IPO kula bata,,waza pesa tu,utapata mwingine bomba,,ilishanitokea hiyo,ila wangu alinipigia cm,akasema Mimi na yeye basi,nikasema poa,wiki haikupita alinitafuta mwenyewe,
 
kimya ni majibu tosha, usipige simu, usi text wala usiongelee popote kwa wanaomfahamu.
ipo siku atajileta but usimpe nafasi.
mkikutana mchangamkie kama vile hujui chochote, hii itamsumbua sana.
hawa viumbe Mungu anawajua, huwezi kushindana nao utachafukwa bure
 
kimya ni majibu tosha, usipige simu, usi text wala usiongelee popote kwa wanaomfahamu.
ipo siku atajileta but usimpe nafasi.
mkikutana mchangamkie kama vile hujui chochote, hii itamsumbua sana.
hawa viumbe Mungu anawajua, huwezi kushindana nao utachafukwa bure
Ahsante saana kwa ushauri wako mkuu. Mungu akubariki saana
 
Kwani hyo ni dear? Me nmezoom nmeona kama ni Dee sijui ndo kifupi cha jina lake
Kama ni dear sidhan kama angefuta
Nimeliona hilo pia ila nilitaka angalau kumpa mleta mada kaujasiri ka kiume (nilikua natania).

Hapo hakuna kingine cha kufanya zaidi ya "MOVE ON". Sio rahisi ila inawezekana.
 
Mkuu Bilgert
Love,
Is it anything and everything you hoped for?
Or do the feeling haunt you?
I know the feeling haunt you

Move on ma dude She's no longer yours
Shukrani saana Kwa ushauri wako mkuu.
 
Mkuu, hata ukimya ni jibu pia. Yaani sijielewi hapa nilipo
Pole sana mkuu, nilitania kidogo angalau kukupa ujasiri wa kiume.

Jambo la msingi na la muhimu ni kupiga kimya na ku "MOVE ON". Sio rahisi ila jitahidi inawezekana.

Huu ndio muda mzuri sana wa kufanya mambo mengine ya msingi unayohisi yatakukeep bize au kukupa furaha mf. mazoezi, kusoma vitabu, kufurahi pamoja na marafiki n.k

Kuna jambo kubwa sana Mungu amekuepusha nalo sema ni vigumu kulielewa kwa sasa.
 
Moja kwa moja niende kwenye mada, kipenzi changu alianza kubadilika ghafla yapata wiki moja iliyo pita. Tumekuwa kwenye sintofahamu.

Sikuelewa mwenzangu alipatwa na nini, sms hajibu Kwa wakati na pia kila nikimuuliza alikuwa anajibu jeuri, sikuelewa amepatwa na nini...

Niliamua kuwa mvumilivu ili nione labda atabadilika...

Ila nimeshangaa kanitumia sms usiku huu, kama screenshot inavo onekana hapo chini.
Hii ina maana gani,? Nimjibuje au nimpotezee?
Ushauri wenu tafadhari, maana nahisi tumbo Joto.
View attachment 836200View attachment 836200
Kwa kawaida mapenzi yana expire like any other thing sasa hapo ndio expire date imefika hamna haja ya kujibu ukijitahidi sana jibu OK bila kuongeza neno inatosha.
 
Dah usiombe uachwe na dem anaejua english inauma sana.mpaka nimetoa machozi kuona hzo text nimekumbk mbali mno mkuu pole sana achana nae tafuta pesa .
Ila maneno ya hiyo dem kam unampenda hutoysahau
Ngj nimalize kulia nitarudi
Ahsante saana kwa ushauri wako mkuu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom