Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
Wakuu wa maswala,
kuna mwanamama nimeanza ufrendi naye lakini anakatabia ka kuingia
kwenye simu yangu na kucheki nani kanipigia simu au nani kanitumia
msg.
nammaindi kinoma lakini hii tabia mimi sasa naona too much maana
nimemkataza lakini bado hasikii. Leo asubuhi kaja na maswali ya
kipuzi hata simuelewi.
hebu nipeni wasia maana mwenzenu naona niachie ngazi mbele kwa
mbele.
P.S. Ni mmarekani
Mwenzenu.
kuna mwanamama nimeanza ufrendi naye lakini anakatabia ka kuingia
kwenye simu yangu na kucheki nani kanipigia simu au nani kanitumia
msg.
nammaindi kinoma lakini hii tabia mimi sasa naona too much maana
nimemkataza lakini bado hasikii. Leo asubuhi kaja na maswali ya
kipuzi hata simuelewi.
hebu nipeni wasia maana mwenzenu naona niachie ngazi mbele kwa
mbele.
P.S. Ni mmarekani
Mwenzenu.