Huyu Mwanamke hivi nimfanyeje jamani?

Ab-Titchaz

JF-Expert Member
Jan 30, 2008
14,631
4,225
Wakuu wa maswala,

kuna mwanamama nimeanza ufrendi naye lakini anakatabia ka kuingia
kwenye simu yangu na kucheki nani kanipigia simu au nani kanitumia
msg.

nammaindi kinoma lakini hii tabia mimi sasa naona too much maana
nimemkataza lakini bado hasikii. Leo asubuhi kaja na maswali ya
kipuzi hata simuelewi.

hebu nipeni wasia maana mwenzenu naona niachie ngazi mbele kwa
mbele.

P.S. Ni mmarekani

Mwenzenu.
 
babu kweli wataka kuacha??sidhani.najua hako katabia kanakushinda,hiyo ni side a lakini ukigeuza tepu side b inacheza vizuri ama vp?
 
Wakuu wa maswala,

kuna mwanamama nimeanza ufrendi naye lakini anakatabia ka kuingia
kwenye simu yangu na kucheki nani kanipigia simu au nani kanitumia
msg.

nammaindi kinoma lakini hii tabia mimi sasa naona too much maana
nimemkataza lakini bado hasikii. Leo asubuhi kaja na maswali ya
kipuzi hata simuelewi.

hebu nipeni wasia maana mwenzenu naona niachie ngazi mbele kwa
mbele.

P.S. Ni mmarekani

Mwenzenu.

simu zote kunakuwa na code ukiweka hiyo mtu hana uwezo wa kuifunguwa simu yako na kuona vilivyomo ndani sasa nashangaa kwa nini usichukuwe hatuwa kama hiyo ,hapo ndio atajuwa (ataelewa) kuwa hutaki achokonowe simu yako, kwani kugombana na mtu ni kutaka ukifanya hivyo itakuwa unamwambia (mueleza)indirect mtu kama huyo mara nyingi anakuwa na makubwa zaidi moyoni mwake yanayomsumbuwa zidi yako zaidi ya hilo la kuchokonowa simu .
 
simu zote kunakuwa na code ukiweka hiyo mtu hana uwezo wa kuifunguwa simu yako na kuona vilivyomo ndani sasa nashangaa kwa nini usichukuwe hatuwa kama hiyo ,hapo ndio atajuwa (ataelewa) kuwa hutaki achokonowe simu yako, kwani kugombana na mtu ni kutaka ukifanya hivyo itakuwa unamwambia (mueleza)indirect mtu kama huyo mara nyingi anakuwa na makubwa zaidi moyoni mwake yanayomsumbuwa zidi yako zaidi ya hilo la kuchokonowa simu .

Sawa kabisa, kwa mfano kama simu ni aina ya Nokia kuna sehemu una-set KEYGUARD CODE ambayo hiyo utakuwa unaifahamu wewe tu. Au la sivyo mwone yeyote mwenye uzoefu na simu akusaidie
 
Kwani unampango naye wowote? If yes, unaficha nini? Au kicheche?
 
Kama safari jiandae vizuri maana "Dalili za mvua mawingu", na kama mahusiano usambe hukuaswa "heri ya nusu shari kuliko shari kamili", kama ujenzi basi jua "usipoziba ufa utajenga ukuta" Fanya uamuzi wa maana mapema isije kuwa mambo ya "majuto mjukuu" . Pia yakhe kumbuka "ukicheza na mbwa atakufuata mpaka msikitini" na pia "mcheza na tope humrukia" kama kidume inabidi ujue "mchelea mwana kulia hulia yeye".

Mimi nakwambia hivi kwa maana "adhabu ya kaburi aijuaye maiti" na "aisifiaye mvua imemnyea" ukiwa "bendera kufuata upepo" na kusema "chanda chema huvikwa pete" kwa kutaka ku "fuata nyuki ule asali" utajikuta butwaa kwa kujua "konzo ya maji haifumbatiki" baada ya kung'amua kwamba "lila na fila hazitangamani" na "mafahali wawili hawakai zizi moja"

Lakini baada ya yote hayo, najua kuwa "kitanda nisokilala sikijui kunguniwe" na ujuwe kwamba"kila chombo na wimbile" na "kila ndege huruka na mbawa zake"
 
Last edited:
  • Thanks
Reactions: umu
Inawezekana si KICHECHE labda yeye anamdanganya na binti wa watu yupo serious
 
Mpe straight kuwa haupendi tabia hiyo. Nimegundua watu wengi haswa mwanzoni mwa uhusiano wana penda kusugar coat kila kitu wasionekane wabaya. Bora umpe direct kuwa haupendi tabia hiyo na asipo change you will move on. Akiona anaweza kukupeleka kwenye jambo hili basi she will take advantage of you kila siku.
 
Hebu twambie hii tabia ilianza lini?kama siku,miezi mingapi tangu uanze kum-mind!alot of times wen one is suspicious n insecure atataka kuinvestigate tumambo! Labda tutabia twako tumempush to that katabia. Tusimlaumu binti peke yake.i hop yeye pia anakumind kishenzi
 
Wakuu wa maswala,

kuna mwanamama nimeanza ufrendi naye lakini anakatabia ka kuingia
kwenye simu yangu na kucheki nani kanipigia simu au nani kanitumia
msg.

nammaindi kinoma lakini hii tabia mimi sasa naona too much maana
nimemkataza lakini bado hasikii. Leo asubuhi kaja na maswali ya
kipuzi hata simuelewi.

hebu nipeni wasia maana mwenzenu naona niachie ngazi mbele kwa
mbele.

P.S. Ni mmarekani

Mwenzenu.

...duh, braza huyo ni G'friend au FBI unamfuga ndani :D? kwa uzoefu wangu, mwanamke kama huyo mukimuacha ndani anapekua masanduku na nyaraka zako zote, mbaya zaidi hata ukienda kukoga hachelewi kupitisha vidole ndani ya wallet!...

Mbwage tu huyo bro, hafai! ...tabia haibadiliki, ukimchukua jumla jumla ujue siku za usoni utakuwa unapigwa body search...

KMO_087750_00542_1m.jpg
 
Wakuu wa maswala,

kuna mwanamama nimeanza ufrendi naye lakini anakatabia ka kuingia
kwenye simu yangu na kucheki nani kanipigia simu au nani kanitumia
msg.

nammaindi kinoma lakini hii tabia mimi sasa naona too much maana
nimemkataza lakini bado hasikii. Leo asubuhi kaja na maswali ya
kipuzi hata simuelewi.

hebu nipeni wasia maana mwenzenu naona niachie ngazi mbele kwa
mbele.

P.S. Ni mmarekani

Mwenzenu.

Samahani sana, hivi wewe ni Mwanamme? maana mimi siku zote nikiiona hiyo avatar yako najuwa u-mwanamke, samahani kama nimekosea. Au wewe ni mwanamke na huyo mwanamke wa ki merekani mna mahusiano ya jinsia moja? lesbians?
 
Wakuu wa maswala,

kuna mwanamama nimeanza ufrendi naye lakini anakatabia ka kuingia
kwenye simu yangu na kucheki nani kanipigia simu au nani kanitumia
msg.

nammaindi kinoma lakini hii tabia mimi sasa naona too much maana
nimemkataza lakini bado hasikii. Leo asubuhi kaja na maswali ya
kipuzi hata simuelewi.

hebu nipeni wasia maana mwenzenu naona niachie ngazi mbele kwa
mbele.

P.S. Ni mmarekani

Mwenzenu.

Ufrendi wa aina gani?
 
Samahani sana, hivi wewe ni Mwanamme? maana mimi siku zote nikiiona hiyo avatar yako najuwa u-mwanamke, samahani kama nimekosea. Au wewe ni mwanamke na huyo mwanamke wa ki merekani mna mahusiano ya jinsia moja? lesbians?
Hata mie siku zote huwa najua ni mwanamke huyu.
 
simu zote kunakuwa na code ukiweka hiyo mtu hana uwezo wa kuifunguwa simu yako na kuona vilivyomo ndani sasa nashangaa kwa nini usichukuwe hatuwa kama hiyo ,hapo ndio atajuwa (ataelewa) kuwa hutaki achokonowe simu yako, kwani kugombana na mtu ni kutaka ukifanya hivyo itakuwa unamwambia (mueleza)indirect mtu kama huyo mara nyingi anakuwa na makubwa zaidi moyoni mwake yanayomsumbuwa zidi yako zaidi ya hilo la kuchokonowa simu .

Asante kwa info hii and I will take up your advice.
 
Kwani unampango naye wowote? If yes, unaficha nini? Au kicheche?

Mkuu,

si kicheche bali ninampango naye..a future plan nd'o maana
hii tabia yake inaniuzi kweli despite kumwambia I dont like it.
 
Kama safari jiandae vizuri maana "Dalili za mvua mawingu", na kama mahusiano usambe hukuaswa "heri ya nusu shari kuliko shari kamili", kama ujenzi basi jua "usipoziba ufa utajenga ukuta" Fanya uamuzi wa maana mapema isije kuwa mambo ya "majuto mjukuu" . Pia yakhe kumbuka "ukicheza na mbwa atakufuata mpaka msikitini" na pia "mcheza na tope humrukia" kama kidume inabidi ujue "mchelea mwana kulia hulia yeye".

Mimi nakwambia hivi kwa maana "adhabu ya kaburi aijuaye maiti" na "aisifiaye mvua imemnyea" ukiwa "bendera kufuata upepo" na kusema "chanda chema huvikwa pete" kwa kutaka ku "fuata nyuki ule asali" utajikuta butwaa kwa kujua "konzo ya maji haifumbatiki" baada ya kung'amua kwamba "lila na fila hazitangamani" na "mafahali wawili hawakai zizi moja"

Lakini baada ya yote hayo, najua kuwa "kitanda nisokilala sikijui kunguniwe" na ujuwe kwamba"kila chombo na wimbile" na "kila ndege huruka na mbawa zake"

...well said.Nuff respect to your words.
 
mkuu una familia...tunza ur family achana na kicheche hicho hata kama unalisaka karatasi.....

Si hivyo mkuu Yoyo,karatasi tayari ninalo.
Huyu nd'o nataka nifanye kweli naye..hata kumleta Afrika.
Lakini hii tabia inanitia wasiwasi.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom