Huyu Mwanamke hivi nimfanyeje jamani?

Huyu Mwanamke hivi nimfanyeje jamani?

Mpe straight kuwa haupendi tabia hiyo. Nimegundua watu wengi haswa mwanzoni mwa uhusiano wana penda kusugar coat kila kitu wasionekane wabaya. Bora umpe direct kuwa haupendi tabia hiyo na asipo change you will move on. Akiona anaweza kukupeleka kwenye jambo hili basi she will take advantage of you kila siku.

Mwanafalsafa1,

ukweli wa mambo nishampa lakini ndio hivyo.I think kuna a
cultural difference between us.I have no intentions of letting her
ride me like a horse nd'o maana nilimwambia hii tabia ya kuangalia
simu yangu na kuniuliza huyu nani, I'm not having it. Imagine you
gotta explain almost all calls on your cell phone!...Jeez.

Dont get me wrong maana mwanamama mwenyewe poa kishenzi
but I believe in her previous relation alikutana na rijali ambaye
alikua na vicheche kibao na sasa ana wasiwasi kua pia mimi njia ni hio.
Hata nikimwambia mimi mwafrika sina vijitabia vyao hataki kuelewa.

Regards.
 
Hebu twambie hii tabia ilianza lini?kama siku,miezi mingapi tangu uanze kum-mind!alot of times wen one is suspicious n insecure atataka kuinvestigate tumambo! Labda tutabia twako tumempush to that katabia. Tusimlaumu binti peke yake.i hop yeye pia anakumind kishenzi

Shishi,

sema dadangu?..Yamenikuta mwenzio na najaribu kueka mambo
sawa.We've been together for a while now..friends at first alafu
nikaleta hii ishu ya 'come-we-stay"..na hapo ndio nikaanza kuona
tabia ya huyu mtu.She's a sweet person lakini I'm not having this
ish of explaining my phone calls...thats a bit much.I gotta have
some space for myself.

Meanwhile sina "tutabia twangu' so as to raise suspicion..its her
insecurities that coz her to do such.

One.
 
Inawezekana si KICHECHE labda yeye anamdanganya na binti wa watu yupo serious

bnhai,

simdanganyi mtu...hii kitu ni serious nd'o maana naomba
wasia nisije nikaharibu mambo.

shukran.
 
Wakuu wa maswala,

kuna mwanamama nimeanza ufrendi naye lakini anakatabia ka kuingia
kwenye simu yangu na kucheki nani kanipigia simu au nani kanitumia
msg.

nammaindi kinoma lakini hii tabia mimi sasa naona too much maana
nimemkataza lakini bado hasikii. Leo asubuhi kaja na maswali ya
kipuzi hata simuelewi.

hebu nipeni wasia maana mwenzenu naona niachie ngazi mbele kwa
mbele.

P.S. Ni mmarekani

Mwenzenu.

Kwani wewe unaficha nini? Hayo maswali ya kipuzi ni yapi?
 
Samahani sana, hivi wewe ni Mwanamme? maana mimi siku zote nikiiona hiyo avatar yako najuwa u-mwanamke, samahani kama nimekosea. Au wewe ni mwanamke na huyo mwanamke wa ki merekani mna mahusiano ya jinsia moja? lesbians?


Ahahaha JF patamu kweli....AbTichaz hebu twambie ukweli ....is it legal huko uliko? ahahhaahhahahah
 
Shishi,

sema dadangu?..Yamenikuta mwenzio na najaribu kueka mambo
sawa.We've been together for a while now..friends at first alafu
nikaleta hii ishu ya 'come-we-stay"..na hapo ndio nikaanza kuona
tabia ya huyu mtu.She's a sweet person lakini I'm not having this
ish of explaining my phone calls...thats a bit much.I gotta have
some space for myself.

Meanwhile sina "tutabia twangu' so as to raise suspicion..its her
insecurities that coz her to do such.

One.


sasa hapo si wajua ukipenda waridi na miiba yake nayo uhistahimili.... i think the best thing ni kumwambia tu ukweli kuwa hiyo tabia huipendi na kama akiendelea utam-toss. be short and precise...ya kulikuwa kukawa usientertain. all the best my bro, niko nairobi siku hizi za majuu nilitosha!
 
Hata nikimwambia mimi mwafrika sina vijitabia vyao hataki kuelewa.


mmmm so we are talking of a white lady here ama??? mmmm i need to believe this kuwa wewe mwafrika huna hivyo vijitabia vyao???????aahahahhaha
 
weka password kiongozi..mi mwenyewe mywife wangu alikuwa na kamchezo hako nikaweka password mpaka kwenye phonebook...katulia sasa
 
Ana miaka mingapi, i mean umri wake? Kuna tofauti kubwa ya umri baina yenu? haya ni maswali muhimu sana, nijibu halafu tuendelee

Ushauri:-
idhibiti tabia hii mapema kabla ya kukomaa, akishakuwa wife ni vigumu sana kuresolve. Swahili says:-Samaki mkunje angali mbichi
 
Wakuu wa maswala,

kuna mwanamama nimeanza ufrendi naye lakini anakatabia ka kuingia
kwenye simu yangu na kucheki nani kanipigia simu au nani kanitumia
msg.

nammaindi kinoma lakini hii tabia mimi sasa naona too much maana
nimemkataza lakini bado hasikii. Leo asubuhi kaja na maswali ya
kipuzi hata simuelewi.

hebu nipeni wasia maana mwenzenu naona niachie ngazi mbele kwa
mbele.

P.S. Ni mmarekani

Mwenzenu.


Hakuna ubaya wowote nyinyi si ni kitu kimoja! Sasa mnafichiana nini? Chako chake na chake chako au wewe unamficha nini! Ya kwake pia anakuficha!
 
Kama hutaki aguse simu yako the only solution ni kuweka password.
 
Kumuonesha your inside, hebu siku moja jipe shida umueleze anachotaka ambapo kama maelezo yako yatakuwa straight and unambigous, atakuelewa na hatarudia tena.
 
Je wewe na simu yake mko vipi?....kama unaipekua ya kwake basi ukubali nawe ufanyiwe hivyohivyo.
Kama huna tabia hiyo, basi mweleze bila kumung'unya maneno umwambie kuwa tabia yake hiyo ni kero.
Asipoacha , ni mawili - ukubali kuwa huo ndio utaratibu utakaokuwepo maishani mwenu au kama hutaki basi amua utakavyoona inafaa.
 
Kama ni Mke mtarajiwa unamficha nini?Kama ni hawara achana na ukicheche lea familia yako.Ni ipi kati ya hayo?
 
Je wewe na simu yake mko vipi?....kama unaipekua ya kwake basi ukubali nawe ufanyiwe hivyohivyo.
Kama huna tabia hiyo, basi mweleze bila kumung'unya maneno umwambie kuwa tabia yake hiyo ni kero.
Asipoacha , ni mawili - ukubali kuwa huo ndio utaratibu utakaokuwepo maishani mwenu au kama hutaki basi amua utakavyoona inafaa.

Karibu sana mama nimekumiss mno najua umebanwa na vikao.
Pole na majukumu.
 
Si hivyo mkuu Yoyo,karatasi tayari ninalo.
Huyu nd'o nataka nifanye kweli naye..hata kumleta Afrika.
Lakini hii tabia inanitia wasiwasi.
aaah sasa mkuu kwani shori wako kuangalia phonebook na kukagua cm yako tatio liko wapi bana? nyie msiopenda hivyo mnaonekana wakware mna mashori wengi.....afrika hamna kitu inaitwa privacy.....
 
wakuu wa maswala,

kuna mwanamama nimeanza ufrendi naye lakini anakatabia ka kuingia
kwenye simu yangu na kucheki nani kanipigia simu au nani kanitumia
msg.

Nammaindi kinoma lakini hii tabia mimi sasa naona too much maana
nimemkataza lakini bado hasikii. Leo asubuhi kaja na maswali ya
kipuzi hata simuelewi.

Hebu nipeni wasia maana mwenzenu naona niachie ngazi mbele kwa
mbele.

P.s. Ni mmarekani

mwenzenu.


weka security code.
Hata mwanamke wangu alikuwa na mchezo huo, nikamuwekea security code, sasa anaiona simu yangu kama homa ya mafua ya nguruwe,
kila siku anakuja na vikolombwezo vipya, mara wanaopendana wanapeana pin code za benki na password za e mail, kwanini mi namnyima code ya simu yangu?
Nikamjibu mapenzi yangu yako moyoni na si kwenye simu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom