Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,945
- 4,506
Yaani wewe nadhani huwa unatafuna mzizi wa mbangi lol!
hehehe kwa nn Mwana.?
Hivi mzizi wa bange unatafunwa? Ila kwetu mbegu zake huo mmea ni kiungo kizuli cha mboga kama alizeti nakipenda sana tunatumia sana ukipika nyama au futari uweke hiyo aaaahaa Mwana.utasahau kwenu ohh