Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 16,494
- 41,663
Mkuu nahisi utakuwa unatania tu, na sio kwamba umemaanisha.Wazee...
Yani mwanaume uka m dm mwanaume mwenzio.... we maliza kila kitu hapa Mambo yaishe.
Yani kwamba mwanaume hawezi kum dm mwanaume mwenzie? Au unahisi kwenda dm ni kwa ajili ya kuchat mapenzi tu?