Huyu hapa Jesca John Magufuli

Huyu hapa Jesca John Magufuli

Hiyo cheka kama ya Mama yake!!Hapo ni hostel za College ya Social Science
Room #96 block four.....chumba cha kwenye kona,kama unaona nyuma kichwani kwake inaonekana kona ya dizaini fulani...Hivi vyumba vya kwenye kona ni vikubwa kuliko vingine,na kukipata lazima uwe na ukaribu na Block Warden...Huyu alipata sababu ya yule Warden Mkuu Albino....Chumba kubwa na space ya maana..Zulia za Home Shopping Centre

Msiniulize sana...nimefikaje fikaje mpaka kwenye hicho chumba!!Sema binti mtu wa sala sana...ana hofu ya Mungu,nafikiri sababu ya ukaribu sana wa Mama kuliko mzee...Japo wanamgwaya sana Mzee!!Yaani ile "tone" ya mzee Jukwaani ni mpaka sebuleni... Niishie hapa!!Nisije nyea debe bureee,Maana Mzee hataki mchezo na binti zake
Yule block warden anaitwa kati ya AISHA au ASHA.....


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kodi Za Watanzania Wanyonge Amwambie Mshua Akagomboe Bombudaya
 
Hiyo cheka kama ya Mama yake!!Hapo ni hostel za College ya Social Science
Room #96 block four.....chumba cha kwenye kona,kama unaona nyuma kichwani kwake inaonekana kona ya dizaini fulani...Hivi vyumba vya kwenye kona ni vikubwa kuliko vingine,na kukipata lazima uwe na ukaribu na Block Warden...Huyu alipata sababu ya yule Warden Mkuu Albino....Chumba kubwa na space ya maana..Zulia za Home Shopping Centre

Msiniulize sana...nimefikaje fikaje mpaka kwenye hicho chumba!!Sema binti mtu wa sala sana...ana hofu ya Mungu,nafikiri sababu ya ukaribu sana wa Mama kuliko mzee...Japo wanamgwaya sana Mzee!!Yaani ile "tone" ya mzee Jukwaani ni mpaka sebuleni... Niishie hapa!!Nisije nyea debe bureee,Maana Mzee hataki mchezo na binti zake
Wazee wote hawataki mchezo na bint zao tatizo mabint wanakuwaga vinara kwenye mchezo wenyewe.
First daughter yuko vizuri aisee! Vile alivyo amefuta madhambi ya mzee wake uote kwangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na comments za wadau kuhusu huyu binti, kama haya ni kielelezo cha 10% ya vijana wote TZ, basi hiyo Tanzania ya Viwanda ni ndoto, labda viwanda vya kutengeneza vitumbua
Wewe bota kweli sasa pale kuna pucha ya bint watu wa comment kuhusu matofali? Kuna mijtu sijuo akili zao zikoje yaani imekaa kukariri tu nenda kadi scuss viwanda na familia yako wacha tu enjoy daughter number one!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo cheka kama ya Mama yake!!Hapo ni hostel za College ya Social Science
Room #96 block four.....chumba cha kwenye kona,kama unaona nyuma kichwani kwake inaonekana kona ya dizaini fulani...Hivi vyumba vya kwenye kona ni vikubwa kuliko vingine,na kukipata lazima uwe na ukaribu na Block Warden...Huyu alipata sababu ya yule Warden Mkuu Albino....Chumba kubwa na space ya maana..Zulia za Home Shopping Centre

Msiniulize sana...nimefikaje fikaje mpaka kwenye hicho chumba!!Sema binti mtu wa sala sana...ana hofu ya Mungu,nafikiri sababu ya ukaribu sana wa Mama kuliko mzee...Japo wanamgwaya sana Mzee!!Yaani ile "tone" ya mzee Jukwaani ni mpaka sebuleni... Niishie hapa!!Nisije nyea debe bureee,Maana Mzee hataki mchezo na binti zake
Du mkuu we mkali!

Sent by Nokia E5 using Jamii Forums mobile app

 
Back
Top Bottom