sumer
JF-Expert Member
- Oct 29, 2016
- 344
- 229
Yule block warden anaitwa kati ya AISHA au ASHA.....Hiyo cheka kama ya Mama yake!!Hapo ni hostel za College ya Social Science
Room #96 block four.....chumba cha kwenye kona,kama unaona nyuma kichwani kwake inaonekana kona ya dizaini fulani...Hivi vyumba vya kwenye kona ni vikubwa kuliko vingine,na kukipata lazima uwe na ukaribu na Block Warden...Huyu alipata sababu ya yule Warden Mkuu Albino....Chumba kubwa na space ya maana..Zulia za Home Shopping Centre
Msiniulize sana...nimefikaje fikaje mpaka kwenye hicho chumba!!Sema binti mtu wa sala sana...ana hofu ya Mungu,nafikiri sababu ya ukaribu sana wa Mama kuliko mzee...Japo wanamgwaya sana Mzee!!Yaani ile "tone" ya mzee Jukwaani ni mpaka sebuleni... Niishie hapa!!Nisije nyea debe bureee,Maana Mzee hataki mchezo na binti zake
Wazee wote hawataki mchezo na bint zao tatizo mabint wanakuwaga vinara kwenye mchezo wenyewe.Hiyo cheka kama ya Mama yake!!Hapo ni hostel za College ya Social Science
Room #96 block four.....chumba cha kwenye kona,kama unaona nyuma kichwani kwake inaonekana kona ya dizaini fulani...Hivi vyumba vya kwenye kona ni vikubwa kuliko vingine,na kukipata lazima uwe na ukaribu na Block Warden...Huyu alipata sababu ya yule Warden Mkuu Albino....Chumba kubwa na space ya maana..Zulia za Home Shopping Centre
Msiniulize sana...nimefikaje fikaje mpaka kwenye hicho chumba!!Sema binti mtu wa sala sana...ana hofu ya Mungu,nafikiri sababu ya ukaribu sana wa Mama kuliko mzee...Japo wanamgwaya sana Mzee!!Yaani ile "tone" ya mzee Jukwaani ni mpaka sebuleni... Niishie hapa!!Nisije nyea debe bureee,Maana Mzee hataki mchezo na binti zake
Wewe bota kweli sasa pale kuna pucha ya bint watu wa comment kuhusu matofali? Kuna mijtu sijuo akili zao zikoje yaani imekaa kukariri tu nenda kadi scuss viwanda na familia yako wacha tu enjoy daughter number one!Kutokana na comments za wadau kuhusu huyu binti, kama haya ni kielelezo cha 10% ya vijana wote TZ, basi hiyo Tanzania ya Viwanda ni ndoto, labda viwanda vya kutengeneza vitumbua
Usiogope tena huyo unamtandika na makofi hata akirudi kwao anarudishwa kwao
Huko Zimbabwe upo Na ROMA mkatoliki Mkuu?Aisee Mzee baba,MPE namba yangu ya TTCL ile inayoishia na 03,mwambie anibip,kuna chuo huku Zimbabwe wanachukua wenye maksi kama zake,nitamfanyia mpango lkn lzm anipenyeze kati kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Du mkuu we mkali!Hiyo cheka kama ya Mama yake!!Hapo ni hostel za College ya Social Science
Room #96 block four.....chumba cha kwenye kona,kama unaona nyuma kichwani kwake inaonekana kona ya dizaini fulani...Hivi vyumba vya kwenye kona ni vikubwa kuliko vingine,na kukipata lazima uwe na ukaribu na Block Warden...Huyu alipata sababu ya yule Warden Mkuu Albino....Chumba kubwa na space ya maana..Zulia za Home Shopping Centre
Msiniulize sana...nimefikaje fikaje mpaka kwenye hicho chumba!!Sema binti mtu wa sala sana...ana hofu ya Mungu,nafikiri sababu ya ukaribu sana wa Mama kuliko mzee...Japo wanamgwaya sana Mzee!!Yaani ile "tone" ya mzee Jukwaani ni mpaka sebuleni... Niishie hapa!!Nisije nyea debe bureee,Maana Mzee hataki mchezo na binti zake
Lazima nipige hodi ikulu hata kama nikitolewa nduki na wale walinzi wa kinyarwanda
Acha utani bana nisije nikafunga safari kwenda geita.