nyakim
Member
- Jan 27, 2015
- 68
- 26
Hakuna kitu. anakuzid wwBinti mrembo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna kitu. anakuzid wwBinti mrembo
View attachment 506279 Sijui nitampatia wapi kumweleza, Sijui nitaipata wapi namba yake angalau anifahamu.
Popote ulipo Jesca, napenda ufahamu kwamba kuna kijana wa kichaga, Mangi kamili anahangaika usiku na mchana kutafuta mawasiliano yako.
Ni kijana mtanashati, anaelimu ya kutosha na cheti halali tena cha enzi za Ndalichako.
Tafadhali wandugu, nisaidieni nitampataje Jesca.
Msihofu kuhusu Baba mkwe, nimejiandaa kwa Mashambulizi.
General Mangi
Daslam.
Wenzio wanatafuta mbinu za kuchumbia wewe unakuja na siasa za ndege? Tupe takwimu za raia wa kawaida ambao walishaiona ndege imetua acha kuipanda. Barabara waeleze akina Bashite wenye magari matatu majumbani wengine mwendo wa baiskeli.Ila Tanzania yenye neema naiona inakuja kwa kazi,ndege tunazo,tena sasa hivi mtanzania hata ukiulizwa kuwa nchi yako INA nini unalo LA kujibu,barabara tunazo nzuri,ndege tunazo,kiongozi wetu ni MTU anaependa tuwe na vitu vyetu wenyewe,ila wasioelewa wanapinga kila kitu,tuacheni roho mbaya
hakyana'niWasiliana na bashite
General Mangi watch out
not to that extent
Sijui nitampatia wapi kumweleza, Sijui nitaipata wapi namba yake angalau anifahamu.
Popote ulipo Jesca, napenda ufahamu kwamba kuna kijana wa kichaga, Mangi kamili anahangaika usiku na mchana kutafuta mawasiliano yako.
Ni kijana mtanashati, anaelimu ya kutosha na cheti halali tena cha enzi za Ndalichako.
Tafadhali wandugu, nisaidieni nitampataje Jesca.
Msihofu kuhusu Baba mkwe, nimejiandaa kwa Mashambulizi.
General Mangi
Daslam.
Kupost hapa kapicha kamoja inaonesha jinsi gani hauko siriaz na hili swala..Sijui nitampatia wapi kumweleza, Sijui nitaipata wapi namba yake angalau anifahamu.
Popote ulipo Jesca, napenda ufahamu kwamba kuna kijana wa kichaga, Mangi kamili anahangaika usiku na mchana kutafuta mawasiliano yako.
Ni kijana mtanashati, anaelimu ya kutosha na cheti halali tena cha enzi za Ndalichako.
Tafadhali wandugu, nisaidieni nitampataje Jesca.
Msihofu kuhusu Baba mkwe, nimejiandaa kwa Mashambulizi.
General Mangi
Daslam.
HaahaaaMtafute Mshana akupulizie nyota njema
Mmmmmhhh!Hao wazee kuwapata sasa ndio mtihani!!
ila ninaweza pata access kwa Lowassa
mkuu unataka nifanywe mboga?Kupost hapa kapicha kamoja inaonesha jinsi gani hauko siriaz na hili swala..