M2mwembamba
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 2,491
- 1,089
Yani ili umpate ki rahisi na namba yake pia we mtafute bashite itakuwa fasta
Ungesema MSUKUMA sawa,mchaga!!!!View attachment 506279 Sijui nitampatia wapi kumweleza, Sijui nitaipata wapi namba yake angalau anifahamu.
Popote ulipo Jesca, napenda ufahamu kwamba kuna kijana wa kichaga, Mangi kamili anahangaika usiku na mchana kutafuta mawasiliano yako.
Ni kijana mtanashati, anaelimu ya kutosha na cheti halali tena cha enzi za Ndalichako.
Tafadhali wandugu, nisaidieni nitampataje Jesca.
Msihofu kuhusu Baba mkwe, nimejiandaa kwa Mashambulizi.
General Mangi
Daslam.
Ww ni chizi BLACK BEUTY a k a CHEUS MANGALAmkuu mimi nimempend!!
Picha ipo.Mwenye picha yake aitupie humu na sisi wanaume wa mikoani tumfahamu maana wanaume wa dar wanawake zenu shemeji zetu wanawake wetu wanawaje wenu
Hamna kitu hapo,Mtoto yuko vizuri
Wale walinzi hawana shida pale,unawaeleza shida yako tuKwa baba yake ninaingiaje pale?
Utatoaje Msururu wa ng'ombe while binti mwenyewe MWEUSI.Mkuu General Mangi, kukusaidia:
1) Tafuta wazee wenye hekima (akina Mkapa, Mramba, Yona, Desamburo na Mbowe), hawa wazee wapeleka posa kwa mshua.
2) Jipange kwa kutangaza dau kubwa la ng'ombe kwa mshua hata kama kwa ahadi ila uwe na kianzio.
3) Wakishaenda kumuona mshua na kuongea mambo ya kifamilia, utaweza kupata nafasi ya kumuona na kama toto yule wa kisukuma ataridhia kuwa mke ya Mangi mapesa msomi basi mchezo utakuwa umeushinda.
Ni hayo tu kwa sasa!!
Yuko vizuri hilo komwe kama la dingi yake.
Unaroho ngumu hata jambazi tu hilo
Swissme
Bomu
Mkuu mfukuzie mtoto jesca ,
Kila siku anapitaga pale magogoni akiwa anaenda kununua vitunguu na nyanya.
Hofu yangu ni huyo baba mkwe.....nasikia anachuki na akina Mangi, sijui umejipangaje kwa hilo...View attachment 506279 Sijui nitampatia wapi kumweleza, Sijui nitaipata wapi namba yake angalau anifahamu.
Popote ulipo Jesca, napenda ufahamu kwamba kuna kijana wa kichaga, Mangi kamili anahangaika usiku na mchana kutafuta mawasiliano yako.
Ni kijana mtanashati, anaelimu ya kutosha na cheti halali tena cha enzi za Ndalichako.
Tafadhali wandugu, nisaidieni nitampataje Jesca.
Msihofu kuhusu Baba mkwe, nimejiandaa kwa Mashambulizi.
General Mangi
Daslam.
Nkupe # cjui utanipa nini...?MkuuView attachment 506279 Sijui nitampatia wapi kumweleza, Sijui nitaipata wapi namba yake angalau anifahamu.
Popote ulipo Jesca, napenda ufahamu kwamba kuna kijana wa kichaga, Mangi kamili anahangaika usiku na mchana kutafuta mawasiliano yako.
Ni kijana mtanashati, anaelimu ya kutosha na cheti halali tena cha enzi za Ndalichako.
Tafadhali wandugu, nisaidieni nitampataje Jesca.
Msihofu kuhusu Baba mkwe, nimejiandaa kwa Mashambulizi.
General Mangi
Daslam.
Bashite angekuwa hajaoa angekabidhiwa hiyo zawadi