Huyu hapa Jesca John Magufuli

Huyu hapa Jesca John Magufuli

General Mangi watch out

not to that extent

15ecf8b1d7096ef76b475373cd423642.jpg
 
Mkuu General Mangi, kukusaidia:
1) Tafuta wazee wenye hekima (akina Mkapa, Mramba, Yona, Desamburo na Mbowe), hawa wazee wapeleka posa kwa mshua.
2) Jipange kwa kutangaza dau kubwa la ng'ombe kwa mshua hata kama kwa ahadi ila uwe na kianzio.
3) Wakishaenda kumuona mshua na kuongea mambo ya kifamilia, utaweza kupata nafasi ya kumuona na kama toto yule wa kisukuma ataridhia kuwa mke ya Mangi mapesa msomi basi mchezo utakuwa umeushinda.
Ni hayo tu kwa sasa!!
 
Mkuu General Mangi, kukusaidia:
1) Tafuta wazee wenye hekima (akina Mkapa, Mramba, Yona, Desamburo na Mbowe), hawa wazee wapeleka posa kwa mshua.
2) Jipange kwa kutangaza dau kubwa la ng'ombe kwa mshua hata kama kwa ahadi ila uwe na kianzio.
3) Wakishaenda kumuona mshua na kuongea mambo ya kifamilia, utaweza kupata nafasi ya kumuona na kama toto yule wa kisukuma ataridhia kuwa mke ya Mangi mapesa msomi basi mchezo utakuwa umeushinda.
Ni hayo tu kwa sasa!!
Hao wazee kuwapata sasa ndio mtihani!!
ila ninaweza pata access kwa Lowassa
 
Pole zako mangi. Yaani umeona vibaya kukaa huku uraiani wataka kuishi Segerea siyo?? Namwambia mkuu kuwa huu ni uchichezi kamili. Hata kama mkuu hasomi jf naomba bashite amsomee
 
View attachment 506279 Sijui nitampatia wapi kumweleza, Sijui nitaipata wapi namba yake angalau anifahamu.

Popote ulipo Jesca, napenda ufahamu kwamba kuna kijana wa kichaga, Mangi kamili anahangaika usiku na mchana kutafuta mawasiliano yako.

Ni kijana mtanashati, anaelimu ya kutosha na cheti halali tena cha enzi za Ndalichako.

Tafadhali wandugu, nisaidieni nitampataje Jesca.
Msihofu kuhusu Baba mkwe, nimejiandaa kwa Mashambulizi.

General Mangi
Daslam.
Kwakweli ni mrembo aisee
 
pamoja na msiba mzito lakini imeninid nicheke tu..
Mkuu uko tayari kufanya usaili hatua 50 na kufanyiwa uhakiki hatua 50
 
Back
Top Bottom