Huyu hapa Jesca John Magufuli

f00d486393ebfb552f628834104bab2c.jpg


Ndo j huyu mwe!
 
View attachment 506279 Sijui nitampatia wapi kumweleza, Sijui nitaipata wapi namba yake angalau anifahamu.

Popote ulipo Jesca, napenda ufahamu kwamba kuna kijana wa kichaga, Mangi kamili anahangaika usiku na mchana kutafuta mawasiliano yako.

Ni kijana mtanashati, anaelimu ya kutosha na cheti halali tena cha enzi za Ndalichako.

Tafadhali wandugu, nisaidieni nitampataje Jesca.
Msihofu kuhusu Baba mkwe, nimejiandaa kwa Mashambulizi.

General Mangi
Daslam.
hivi wanamshindisha njaa maana afya yake kidogo ime loose connection
 
Humuezi huyo,anaweza akakuambia kulala ni SAA moja usiku,ukimwambia vipi kazi ni,anaweza kukwambia kazi kazi kitu gani,
 
Mkuu si muda unapotea, Ukipotea na ukirejea utupatie mrejesho nini kimekutokea huko
 
Humuezi huyo,anaweza akakuambia kulala ni SAA moja usiku,ukimwambia vipi kazi ni,anaweza kukwambia kazi kazi kitu gani,

Na pia anaweza akaambiwa siku ya kucheza mechi ni ijumaa tu, akiuliza vipi jumamosi ataambiwa jumamosi ni kulala tu hili jumapili muwahi kuamkia kanisani na nisije nikasikia mme nanihii jumamosi.
 
Ila Tanzania yenye neema naiona inakuja kwa kazi,ndege tunazo,tena sasa hivi mtanzania hata ukiulizwa kuwa nchi yako INA nini unalo LA kujibu,barabara tunazo nzuri,ndege tunazo,kiongozi wetu ni MTU anaependa tuwe na vitu vyetu wenyewe,ila wasioelewa wanapinga kila kitu,tuacheni roho mbaya
 
Ila Tanzania yenye neema naiona inakuja kwa kazi,ndege tunazo,tena sasa hivi mtanzania hata ukiulizwa kuwa nchi yako INA nini unalo LA kujibu,barabara tunazo nzuri,ndege tunazo,kiongozi wetu ni MTU anaependa tuwe na vitu vyetu wenyewe,ila wasioelewa wanapinga kila kitu,tuacheni roho mbaya
Ww utakuwa na matatzo inabidi tufunge na kuomba kwa ajili yako. Maada ni mtu kampenda mtu ww unaleta mambo ya ndege inahusiana nn? Soma alama za nyakati.
 
Mnaongea utumbo kwanza sikujua kama ni huyo binti wa watu nisingechangia chochote,kwendeni zenu huko
 

Similar Discussions

63 Reactions
Reply
Back
Top Bottom