umempendea nini huyo manzi?! mbona sura mbovu!?View attachment 506279 Sijui nitampatia wapi kumweleza, Sijui nitaipata wapi namba yake angalau anifahamu.
Popote ulipo Jesca, napenda ufahamu kwamba kuna kijana wa kichaga, Mangi kamili anahangaika usiku na mchana kutafuta mawasiliano yako.
Ni kijana mtanashati, anaelimu ya kutosha na cheti halali tena cha enzi za Ndalichako.
Tafadhali wandugu, nisaidieni nitampataje Jesca.
Msihofu kuhusu Baba mkwe, nimejiandaa kwa Mashambulizi.
General Mangi
Daslam.
Duh watu mna maneno makaliumempendea nini huyo manzi?! mbona sura mbovu!?
Mkuu mimi nimeridhika na kila kitu chakee.umempendea nini huyo manzi?! mbona sura mbovu!?
NIPO TAYARI.pamoja na msiba mzito lakini imeninid nicheke tu..
Mkuu uko tayari kufanya usaili hatua 50 na kufanyiwa uhakiki hatua 50
Kupenda nako hairuhusiwi?"Watch it, you have freedom, but not to that extent"
Not to that extent.Kupenda nako hairuhusiwi?
who said?Not to that extent.
Jesca ana moyo wa ki Rasta mangiView attachment 506279 Sijui nitampatia wapi kumweleza, Sijui nitaipata wapi namba yake angalau anifahamu.
Popote ulipo Jesca, napenda ufahamu kwamba kuna kijana wa kichaga, Mangi kamili anahangaika usiku na mchana kutafuta mawasiliano yako.
Ni kijana mtanashati, anaelimu ya kutosha na cheti halali tena cha enzi za Ndalichako.
Tafadhali wandugu, nisaidieni nitampataje Jesca.
Msihofu kuhusu Baba mkwe, nimejiandaa kwa Mashambulizi.
General Mangi
Daslam.
Daddy ********.who said?
Yuko vizuri hilo komwe kama la dingi yake.
Where?Daddy ********.
""I want to tell media owners to be careful and watch it. If you think you have freedom... not to that extent," Magufuli said"Where?