Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 14,226
- 30,461
Ingekuwa wanapambania nchi yao, sifa na pongezi zisingeenda kwa Samuya
Nani alitoa hizo sifa?
Ingekuwa wanapambania nchi yao, sifa na pongezi zisingeenda kwa Samuya
StateNani alitoa hizo sifa?
Huwa wanapimwa vijana wa mataifa yote tena na wataalamu kutoka CAF kabla ya mashindanoKwani CAF hawafanyi MRI kwa under 17?
WAtu wanadgani ni vyeti tuu ndivyo vinatumika.Huwa wanapimwa vijana wa mataifa yote tena na wataalamu kutoka CAF kabla ya mashindano
State
Sahau hilo mkuu. Vijana wa siku hizi wanajua vyema ngono kuliko hata viganja vya mikono yao.Seran atakaminya haka akaue. 😊
Kma utakuwa na kumbukumbu kumbuka lile sakata la yule mwamba wa congo Brazzaville kilichotokea basWAtu wanadgani ni vyeti tuu ndivyo vinatumika.
Nakumbuka mkuuKma utakuwa na kumbukumbu kumbuka lile sakata la yule mwamba wa congo Brazzaville kilichotokea bas
14 YA mpira ndio nn?14 ya mpila muwe mnaelewa
Hata CAF wana MRIAkienda team kubwa ulaya wanampiga MRI anarudishwa.
AnayoView attachment 3601278
Itakua kwenye 20-25.