Kwani ukiokoka ndo kusema umepiga kufuli katika nyati?Unajua nimeokoka na nimetoka kumsindikiza Stroke kushikwa bega na malaika hata masaa 24 hayajapita!
Ni ugumu tu wa maisha sio mkubwa huyo.View attachment 3601278
Itakua kwenye 20-25.
Naweza kubali ana hio 14 sababu watu wanaofanya mazoezi hasa yale yanayohusisha kukimbia kama mpira wengi hukomaa, kuna yule dogo aliokiwasha olympic zilizopita wa USA somebody Sha'carri, dogo kakomaa tena ni wa kike ila angalia umri sasa, athletes wengi wanaokomaa na mazoezi wengi wanaonekana hivyo sababu ya intesity ya mazoezi yao.View attachment 3601278
Itakua kwenye 20-25.
Ndio, nasubiri wakati wa bwana!Kwani ukiokoka ndo kusema umepiga kufuli katika nyati?
Ni upi huo?Ndio, nasubiri waktai wa bwana!
Weka picha.hata mimi nilivokua na miaka 12 nilikua hivo tu. mazoezi