Huyu dogo Hana Miaka 14. Wadanganyeni Wengine!

Huyu dogo Hana Miaka 14. Wadanganyeni Wengine!

Niliwahi kufanya kazi kwenye academy moja hapo nchini tanzagiza, kuna mwamba ana miaka 30 na yupo timu ya under 20 mwaka wa nne huu.

Yani ukiwa na mwili mdogo, huna ndevu, bc imeenda hiyoooooooooo
 
Ni kawaida kwenye michezo Afrika. Ninadhani mwanamichezo pekee ambaye hajadanganya umri ni mwanariadha Alphonce Felix Simbu ndo maana bado yupo sana tofauti na wenzake wanaovuma miaka miwili wanapotea. Sababu kubwa inayosababisha yote ni vipaji kutofanyiwa kazi mapema. Mtoto mwenye kipaji pia anatakiwa mapema sana asome shule inayohusiana na kipaji chake. Utakuta mtu ana miaka 18 ndo wadau wanashtuka kuwa kipaji kipo. Wazazi na walezi pia tuache upuuzi wa kudharau vipaji na kudhani masomo kama Physics na Chemistry peke yake ndo tegemeo maishani. Mzazi wa Alphonce ninampongeza sana kwa kumkabidhi mwanae akiwa mdogo shule inayohusiana na riadha leo hii anakula kuku kwa mrija.
 
Inawezekana, Maisha yetu ni ya shida Sana wazee... halafu dogo uso wake unauona ulivyojaa chunusi za balehe.
 
Waache hawa madogo. Hakuna faida kwenu au kwao. Madogo wanapambania maisha na nchi yao.

Nyie pambaneni na uchawa wa maccm walioupelekea huko.
 
Siku hizi JF imekuwa ya wambea na mabwabwa kibao

Badala mtu alete ushahidi kusapoti mashaka yake anapiga umbea

Au matoto ya Instagram, Facebook na X yamehamia na huku?

Porojo porojo tu ujinga mtupu
Inasikitisha sana.

Kama sikosei CAF wana Tumia MRI wrists scan kugundua umri wa hawa vijana. Hasa u17
 
Back
Top Bottom