KIXI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 2,417
- 3,200
mimi kuna mwamba nilisoma naye Primary eti now yupo under 20 mimi now nina 30+Niliwahi kufanya kazi kwenye academy moja hapo nchini tanzagiza, kuna mwamba ana miaka 30 na yupo timu ya under 20 mwaka wa nne huu.
Yani ukiwa na mwili mdogo, huna ndevu, bc imeenda hiyoooooooooo
Africa uongo kila mahali