Siku hizi JF imekuwa ya wambea na mabwabwa kibao
Badala mtu alete ushahidi kusapoti mashaka yake anapiga umbea
Au matoto ya Instagram, Facebook na X yamehamia na huku?
Porojo porojo tu ujinga mtupu
Kila mtu SeranHuyo dogo akimshika Seran si itakuwa patashika nguo kuchanika kabisa?!
Hapana ukitulia utamuona ni mtoto kabisa sema ni mbegu ndefuMiaka 14 ya mchongo😀😀😀😀
Si Kila mtu, ni Mimi peke yangu 😎.Kila mtu Seran