Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,832
- 86,574
we utauona tu!Ni upi huo?
we utauona tu!Ni upi huo?
semeja huonekani! 🫢hata mimi nilivokua na miaka 12 nilikua hivo tu. mazoezi
Weka picha.
Ngoja tuone...we utauona tu!
Sio ugumu wa maisha peke yake. Hata mazoezi yanakausha mafuta kwahiyo mwili unakakamaa sana.Ni ugumu tu wa maisha sio mkubwa huyo.
Mkuu, mbona unaniwekea picha ya Chizi Maarifer.
daah yaani hii app naona sikuizi inaniumiza kichwa sijui ndo macho kusoma sana maandishisemeja huonekani! 🫢
Joined 2024 unasema siku hizi? Fuckoff 🖕Siku hizi JF imekuwa ya wambea na mabwabwa kibao
Badala mtu alete ushahidi kusapoti mashaka yake anapiga umbea
Au matoto ya Instagram, Facebook na X yamehamia na huku?
Porojo porojo tu ujinga mtupu
pole sana mkuu!daah yaani hii app naona sikuizi inaniumiza kichwa sijui ndo macho kusoma sana maandishi
Ona ulivyo akili kisoda, unajua mimi nina akaunti ngapi humu?Joined 2024 unasema siku hizi? Fuckoff 🖕
Ni ugumu tu wa maisha sio mkubwa huyo.
Oya, madogo wa siku hizi wanamikwaju ya hatari, we acha tu! Mshangazi atapelekwa kwa spidi ya ngiri.Mnasemagq Seran ni mshangazi! Sasa atamuua huyo dogo. 😊
hahah Asante Seranpole sana mkuu!