comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 8,390
- 17,076
Jamaa kakomaa sana aisee
Kamisaa wa mchezo ndio man of the match au sio?Kamisaa huyo.
haya mambo yanawezaje kuwashughulisha kiasi hicho ?View attachment 3601278
Itakua kwenye 20-25.
Naskiaga ndio hao hao, Ana miaka 17 na haogopi mtu.Kamisaa wa mchezo ndio man of the match au sio?
Yaan yeye ndio kamisaa wa mchezo na yeye ndio man of the match au mwandishi kakosea kuandika?Naskiaga ndio hao hao, Ana miaka 17 na haogopi mtu.
Kipa huyo....Yaan yeye ndio kamisaa wa mchezo na yeye ndio man of the match au mwandishi kakosea kuandika?
Bila kafara ya damu ya mtu, sioni nikitoboasa itakuwaje?
mrudie muumba, kuwaroga utumishi si mchezo!Bila kafara ya damu ya mtu, sioni nikitoboa
Sijawah kumuacha Muumba, Ila kama wakati wangu bado, bc utanikuta nikiwa nimechoka sanamrudie muumba, kuwaroga utumishi si mchezo!
kila mtu ana njia zake usijiombee kuchoka sana endelea na mambo mengine huku utumishi wakiwa kama plan bSijawah kumuacha Muumba, Ila kama wakati wangu bado, bc utanikuta nikiwa nimechoka sana
Yah, mm bado naendelea na private penye kichomi, Utumishi naenda nao mdogo mdogokila mtu ana njia zake usijiombee kuchoka sana endelea na mambo mengine huku utumishi wakiwa kama plan b
Captain.Huyo ni nani referee au ni ni kocha?
Na kipara(kiaraza) cha msosi kimekaa kama runway ya uwanja wa ndege.Kipa huyo....
Msosi tu chief ..... bwana mdogo kabisa huyu.
pambana! diha..Yah, mm bado naendelea na private penye kichomi, Utumishi naenda nao mdogo mdogo
Hata 14x2 inawezekana.View attachment 3601278
Itakua kwenye 20-25.
Msosi tu chief.Na kipara(kiaraza) cha msosi kimekaa kama runway ya uwanja wa ndege.