FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,800
Alishahukumiwa?Kweli dunia ni uwanja wa fujo.
Ukiwa mbabe sana hapa duniani basi ipo siku utakutana na wababe wenzako na watakukalisha.
Nasikia huyu mwamba aliyemtolea Nape bunduki naye leo hii ananyea ndoa au kubebeshwa mtondoo pale ngome.
Wanadai alihusika na ukatili wa kudhulumu uhai wa mjasiliamali wa huko kusini wilayani Nachingwea.
Hakika dunia ni uwanja wa fujo na mwenye nguvu mwache apite.
Huyo alikuwa ni askari wa kituo kipi alipomfanyia Nape hivyo?