Huyu askari kwa sasa anasota rupango

Huyu askari kwa sasa anasota rupango

Kweli dunia ni uwanja wa fujo.

Ukiwa mbabe sana hapa duniani basi ipo siku utakutana na wababe wenzako na watakukalisha.

Nasikia huyu mwamba aliyemtolea Nape bunduki naye leo hii ananyea ndoa au kubebeshwa mtondoo pale ngome.

Wanadai alihusika na ukatili wa kudhulumu uhai wa mjasiliamali wa huko kusini wilayani Nachingwea.

Hakika dunia ni uwanja wa fujo na mwenye nguvu mwache apite.
Alishahukumiwa?

Huyo alikuwa ni askari wa kituo kipi alipomfanyia Nape hivyo?
 
Mimi mwenyewe nilisikià yupo nje ya nchi,kikazi.
Tatizo watu huwa wanamchaganya huyu Mwamba. Yaani huyu jamaa afikishwe Mahakamani kweli, picha zake siku hiyo zisijae mitandaoni na magazeti yasiandike. Mwamba mimi nimepiga naye mzigo sehemu opokuwa amepumzika zake, mda wake ulipousha alirudi Dar, baadae akakwea chuma!
 
Tatizo watu huwa wanamchaganya huyu Mwamba. Yaani huyu jamaa afikishwe Mahakamani kweli, picha zake siku hiyo zisijae mitandaoni na magazeti yasiandike. Mwamba mimi nimepiga naye mzigo sehemu opokuwa amepumzika zake, mda wake ulipousha alirudi Dar, baadae akakwea chuma!
Wacha kudanganya watu mzee mwenzangu
 
Kweli dunia ni uwanja wa fujo.

Ukiwa mbabe sana hapa duniani basi ipo siku utakutana na wababe wenzako na watakukalisha.

Nasikia huyu mwamba aliyemtolea Nape bunduki naye leo hii ananyea ndoa au kubebeshwa mtondoo pale ngome.

Wanadai alihusika na ukatili wa kudhulumu uhai wa mjasiliamali wa huko kusini wilayani Nachingwea.

Hakika dunia ni uwanja wa fujo na mwenye nguvu mwache apite. View attachment 2683156
Anyongwe tu
 
Hakuna siku niliona vibaya kama siku Nape alivyofanyiwa hivyo. Yaani ilifikia Waziri kudhalilishwa namna hiyo. Iiisikitisha na kunitisha sana. Mpaka mitandao ya kijamii nikawa naiogopa.
Jiwe alikuwa anawafuga hawa wajinga kiasi wakajiona wao ndiyo watoto wa Mungu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom